Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio rahisi sana kujua ila unatakiwa kumjua vyema mumeo hasa ktk tendo la ndoa maana utaona tofauti tu. Unaweza ukahisi kitu then ukafanya utafiti kidogo kidogo. Haina maana ile mikito kupungua yawezekana keshatoka, zipo sababu nyingi zinazoweza kuchangia, so fanya uchunguzi.Habar,bila shaka mu wazma
swal langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wik moja au zaid?
wala usihangaike utafiti unasema kati ya wanaume 10, 7 wanamichepuko wee mkumbatie tuu akupe haki ya msingi.........ya kukukuna aje home kwa wakati i mean akuheshimu wanaume wameumbwa kwa matamanio walahi hata atoke kushuka kifuani mwako saa hiyo hiyo akikatiza gigy mane kavaa kihasara anamtamani ................jitahidi kumfanyia mambo ambayo atakuwa anakutamani anakuwaza na kukukumbuka hata akichepuka anajishtukia na kujiheshimuHabar,bila shaka mu wazma
swal langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wik moja au zaid?
Tafuta kifaa kinaitwa uchepukameter...kina pima hadi idadi ya magoli
wala usihangaike utafiti unasema kati ya wanaume 10, 7 wanamichepuko wee mkumbatie tuu akupe haki ya msingi.........ya kukukuna aje home kwa wakati i mean akuheshimu wanaume wameumbwa kwa matamanio walahi hata atoke kushuka kiuani mwako saa hiyo hiyo akikatiza gigy mane kavaa kihasara anamtamani ................jitahidi kumfanyia mambo ambayo atakuwa anakutamani anakuwaza na kukukumbuka hata akichepuka anajishtukia na kujiheshimu
pole sana
kwakweli cha msingi ajaribu kumridhisha mwanaume wake .maana wanawakwe huwa tunajisahauNi ukweli mkuu , maana siku hizi kumkuta mwanaume hatoki ni nadra sana ukizingatia siku hizi wanawake wanatongoza au wanakushawishi uwatongoze
kwakweli cha msingi ajaribu kumridhisha mwanaume wake .maana wanawakwe huwa tunajisahau
anatafuta magonjwa tuu huyu......Unataka ujue ili iweje???
jf bhnTafuta kifaa kinaitwa uchepukameter...kina pima hadi idadi ya magoli