Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Utajisikiaje ukiwa umeongozana na mdogo wako uliyemzidi miaka kama 8 hivi, mnaenda sehem mnakutana na watu tofauti lakin cha ajabu wakimuona dogo lako wanamwamkia SHIKAMOO Bro, anapewa na kiti akae, halafu wewe unapewa MAMBO VP MSHIKAJI halafu unaambiwa WE BADO KIJANA MDOGO SIMAMA KIDOGO ULE TIZI UKOMAE . . .?