Utajisikiaje na utazuga vipi?

Wajad

JF-Expert Member
Jul 20, 2012
1,321
604
Kama ni kuku kwa sababu wao ni chapchap utazuga kama hujawaona na utachomekea stori. Umekaa unazungumza na mkwe wako wa jinsia tofauti, ghafla wanatokea wanyama kama mbwa au bata wana du tartiiib mbele yenu, utajisikiaje na utazugaje?
 
Kwa kweli ni kuwafukuza kisha kuendelea na mazungumzo kama kawaida...kujifanya unaondoka itakuwa kama una nidhamu ya uoga hivi.
 
mie ndio kwanza nabaidilisha topic tuanze kuzungumzia utamu...eti bby hii style na sie tunaweza ijaribu huku napitisha mkono kupapasa wowowo
 
Utampa wakati mgumu mkwe. Mara ataangalia chini, mara kushoto mara kulia na mtiririko wa maneno utatatizika
Sina imani na wakwe wa Siku izi! Mkwe mwenyewe utakuta kavaa skin jeans au kimini, kwanini niwanyime wanyama haki Yao ya msingi?
 
Kukaa na kuzungumza sio lazima sebuleni tu, hata nje inawezekana mkuu.

Nawapiga hata kwa chupa ya bia au soda najua watatii tu kamanda. Kuwaacha waendelee kufaidiana mbele ya macho yangu itakuwa aibu kubwa kuliko kuwafukuza kwa njia yoyote ile.
 
Wafunike shuka! Kama vipi kula wa mbuzi tu uchune uso!
Kwani kati yenu kuna aliyewaita waje kukulana hapo?
Aibu za kinafiki tupa kulee!
Huyo mkweo alimzaa vipi huyo uliemuoa/aliekuoa kabla hajazungusha miuno ?
Kula kabnyau tu! Kwa macho makavu.
 
Wasiwasi wako ni nini? Unawafukuza mnaendelea na stori,kwani yeye mkwe hajui kuwa wale ni wanyama,hajui kuwa kutiana kupo? Tuache uoga wa kinafki ilhali ukweli uko wazi, je akija akakuta binti yake ana mimba si atajua kuwa ulivua nguo ukamchomekea dushelele yako mimba ikatokea,call a spade by its name bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom