Nawafukuza au nawatisha kwa maana mbwa hawezi kuja sebuleni tulipokaa ndiyo wasex.
Mh me nitakazanisha mazungumzo tu
Kwa kweli ni kuwafukuza kisha kuendelea na mazungumzo kama kawaida...kujifanya unaondoka itakuwa kama una nidhamu ya uoga hivi.
Mie, nitajidai sijaona..... hata ukiwafukuza aisaidii maana wale ni wanyama hawajitambui
mie ndio kwanza nabaidilisha topic tuanze kuzungumzia utamu...eti bby hii style na sie tunaweza ijaribu huku napitisha mkono kupapasa wowowo
Sina imani na wakwe wa Siku izi! Mkwe mwenyewe utakuta kavaa skin jeans au kimini, kwanini niwanyime wanyama haki Yao ya msingi?Utampa wakati mgumu mkwe. Mara ataangalia chini, mara kushoto mara kulia na mtiririko wa maneno utatatizika
Kukaa na kuzungumza sio lazima sebuleni tu, hata nje inawezekana mkuu.
U hali gani Arabela?Mh me nitakazanisha mazungumzo tu
U hali gani Arabela?
Hapo lazima mazungumzo yatakuwa na kigugumizi