Utajiri wa Mohammed Dewji (MO) na Kampuni ya MeTL umechangiwa na maamuzi ya Serikali ya awamu ya tatu

Mimi binafsi naamini kama mtu akijikita katika kuzalisha anaweza kuwa na maisha mazuri baadae. Unaweza kugawa majukumu baba ukaajiliwa ila ukamuwezesha mke kuzalisha bidhaa ambazo baadae watoto wanaziendeleza wakiwa na elimu na ujuzi zaidi.
 
Si ndio maana huyu mmoja tulimteka na kum black mail ili aachie, utaona siku c nyingi mali zetu zinavyorudi, akikaidi tu zile video tulizomrekodi kule mafichoni tunaziachia. Dadeki
Sijui kama ni kweli but najaribu kuangalia kile kinacho mpata milionea Zakaria wa kule Tarime ni kama hiki; baada ya kuwachapa wale wahuni risasi na yeye kushikiliwa hadi sasa but karudisha baadhi ya mali alizo nunua kwa uhalali kabisa, tena mnadani!
 
Kasema ukweli kwamba hayo makampuni yaliuzwa kwa "BEI POA". Sakata la kampuni ya kusindika maziwa ya Utegi kule Rorya ni mfano wa haya.
 
Hamna kitu mshahara tu miaka ile na kuendeshwa bure kwenye magari yao basi
Mshukuru Mungu hata kwa hayo babukijana, Na jisifie kwa familia yenu kufundisha familia yenye neema! Mafanikio ya mwanafunzi ndio huwa FURAHA ya mwalimu na sio vinginevyo. Japo wanafunzi waliokuwa wasumbufu ndio huwakumbuka walimu wao kuliko wale wafata sheria!!!!
 
Ahsante sana. Hii ndio michango inayojenga. Ni vema members wakasoma makala mama hii.
 
Hivi hawa viongozi waliofanya haya maamuzi ni watanzania kweli?. Aisee uzalendo kumbe hautamkwi tu mdomoni. Haya matumbo yetu ndiyo maana ngozi nyeusi hatuendelei. Tuna mawazo ya kula tu na kufunga tai!. Hatuwazi juu ya hatma ya nchi yetu. Tunawaza miaka mitano mitano tu. Hatuwazi miaka 100 ijayo. Ndiyo maana mali za nchi zetu kila mtu anajichukulia tu. Mchina haya!, Mhindi hayaa!, mwingereza hayaa, mbongo hayaaaaaaaa!. Tumekwisha.
Ndugu yangu nchi hii imeuliwa na Mkapa Mkapa Mkapa Mkapa,idadi sijui imetosha......ikaja kuzikwa na Kikwetu

Huyu Mmakua aliuza mali za Umma kwa bei che kama vile sio mtanzania ingekuwa kwa wenzetu angepelekwa mahakamani na kunyongwa hadharani
 
baba yake alishakuwa tajiri...mtoto wa Fernandes(Benjamin) ameacha kazi ya $200,000..kapuku utathubutu
Umemjibu kweli kabisa unadhani ni rahisi tu kuacha mshahara wa $60,000? Si rahisi kama wengi wanavyodhania
 
We should always avoid sadism there are a lot of Tanzanians fond of talking too much but they are lazy and non innovative.We should be inspired to work hard to follow the suit to those who have succeeded to thrive economically.
 
Hakuna mtu mbaya Tanzania kumzidi Benjamini Mkapa, ni bora Mwinyi alikuwa akiuza wanyama tu.
Uliyoyasema haya juzi nilikuwa namwambia ndugu yangu mmoja hivi hivi unavyosema!

Hivi mkuu Bunge haliwezi kutunga sheria ya kuwataka wote waliouziwa viwanda,mashamba n.k wapewe utaratibu wa kuurudisha au kuweka utaratibu ili serikali nayo iwe na mkono wake ndani tuwe tunagawana faida?
 
MBONA MENGI WALIMBANIA KUMUUZIA HIVYO VIWANDA KWA BEI POA WAKATI NI MSWAHILI MWENZAO. WALIMBANIA HIVIHIVI KILIMANJARO HOTEL. YANI KISA MCHAGA CCM NYINYI MANYANGAU SANA. NA HII CHUKI YA KISENGE YA KIKABILA CCM WANAYO HADI LEO.

MTU NI MBANTU MWENZENU NA ABILITY ANAYO YANI MNAMBANIA MNAWAUZIA RANGI TOFAUTI.

SADDIST NA HOVYO KABISA
Mkuu umesema kweli!
Lakini tatizo sio kwa watawala wetu bali lipo kwa Watanzania wote. Tunakasumbu ya kushobokea watu fulani Fulani! Hata angetekwa Mzee Mengi watu tusingepaza sauti kama tulivyofanya kwa Mo.
 
Basi aliwanyonya sn ndugu zetu wenye rangi nyeusi kwenye hayo maviwanda yao, ndio c wanajulikana walivyo wakax kwa wabongo
Aliwanyonyaje wakati walikua wakijiendesha kwa hasara? Wabongo tuna wivu sana, unaweza kuta eneo halina matumizi ukanunua kwa bei ndogo ukafanya investment kubwa ikapandisha hadhi ya eneo hilo aliyekuuzia akaja kukwambia ulimtapeli, sijui huwa tukoje??!!
 
Back
Top Bottom