Ufunguo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 330
- 231
- Thread starter
- #101
Utatimizaje sera ya viwanda kama hata huna ardhi ya kutosha?. Sehemu kubwa ya ardhi inayofaa inamilikiwa na wachache!. Lazima utambue kuwa ardhi ni mali ya umma. Tukiihitaji tunaitwaa tu hata ukienda the Hague huambulii kitu. OverWaligawa viwanda vyetu kwa bei ya kutupa.Leo wanabaki kujinasibu wanasera ya viwanda.