chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
point,first generation kazi kubwa Sana kuufikia utajiri, vita ni nyingi za kupambana nazo mpaka u settle!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wa akina msakatongewengine hatuna cha kurithi isipokuwa jina la ukoo tu alafu nalo unalikuta baya kichizi
HakikaUko wa akina msakatonge
Imagine ukoo wako unaitwa 'Ibinjiko' 'thumulangombe' ....wengine hatuna cha kurithi isipokuwa jina la ukoo tu alafu nalo unalikuta baya kichizi😂😂
Kwa nini uruhusu ndugu yako akurudishe nyuma? Huo ni upunguani...Changamoto nyingine ni Sibling rivary. Ndugu yako wa damu anakuletea upinzani akisikia unataka kubomoa nyumba ya zamani na kushusha apartments kwa mpunga uliopata kwenye harakati zako.
Anaona hapa hatakuwa na sauti anapinga kabisa ile ya sitaki upate.
Hii tabia imefelisha familia nyingi sana za watoto zaidi ya wawili kutaka kugawana mali ili kila mtu afe kivyake. Ila baada ya miaka kadhaa unawakuta wamefulia mali zote wamejifilisi.
Ubinafsi ni mbaya sana .
Inabidi uwe tough kwa ndugu zako. Kwani wao ni nini kimewazuia wasifanikiwe kama wewe? Si wote mmezaliwa katika hali hio hio? Manake wao si wapambanaji kama ww. Mimi nawaambia wapambane tu na hali zao.that is why wanyonge watabaki kuwa wanyonge milele,ukiinuka kidogo unakua nguzo ya ukoo mzima hupati ata nafasi ya kufanya maendeleo zaidi
Hapo mnakosea sana. Mimi binafsi sikusaidiwa na ndugu yeyote tena wakati napambana mishe za kwenda ughaibuni ambako ndio kulinitoa, walikuwa wananiita mwenye ndoto za ramli, mvuta bangi, na aliyechanganyikiwa.sahihi Mkuu,hasa unapokua anaanza kuinuka kiuchumi wategemezi wanazidi kipato
For sure mkuuHakika ni kweli kabisa...
Ila baada ya mafanikio wote wanakuona HeroHapo mnakosea sana. Mimi binafsi sikusaidiwa na ndugu yeyote tena wakati napambana mishe za kwenda ughaibuni ambako ndio kulinitoa, walikuwa wananiita mwenye ndoto za ramli, mvuta bangi, na aliyechanganyikiwa.
bado tunashika no nzuri sioFamilia zetu hizi utasikia usitegemee mali za wazazi tafuta zako mwenyewe.
Na bado kwa umasikini tunashika namba nzuri.