Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,101
- 39,280
Dau ana daraja?Hivi daraja la Dau linafunguliwa rasmi lini vile?
Dau ana daraja?Hivi daraja la Dau linafunguliwa rasmi lini vile?
Lile la kigamboni linafunguliwa keshoDau ana daraja?
Shida hapa ni kuwa nchi hii ilipokuwa inaingia kwenye mfumo wa soko huria haikuweka taratibu......na hiyo ndio shida ambayo nchi inajikuta inayo...Dau ana haki ya kuwa tajiri.Na ni kada wa CCMUtajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100Bilioni.
Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.
Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.
Source: Dira ya Mtanzania- 18 April 2016
wamekosea hao Dira, Dau ndo anadhamini ligi kuu ya uingereza, na kuanzia msimu ujao ligi ya uingereza itaitaitwa "Dr Dau premier league"Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100Bilioni.
Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.
Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.
Source: Dira ya Mtanzania- 18 April 2016
Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100Bilioni.
Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.
Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.
Source: Dira ya Mtanzania- 18 April 2016
Share holder yoyote ni mmiliki wa timu, ata ukiwa na Billion 1 inawezekana kabisa ukawa mmiliki wa sio Newcastle tu bali ata Manchester United kwa asilimia ata 0.001%.Kuna wakati mwingine kuna magazeti yapo kwasababu ya kuchafua wengine. Hivi Una bilioni mia moja unaweza kuwa mmiliki wa Timu Inayoshiriki EPL? Hiyo pesa utaweza kununua wachezaji kama Yohane cabaye au CHEIKH TIOTE ambao wote thamani Zao ni Zaidi Pesa hizo? kwa
nchi haiendeshwi kwa magazeti ya udakuHapa ndiyo tutajua kama mzee wa majipu yupo serious au anafanya usanii, kama atamuacha huyu jamaa nitajua ni usanii
kawekeza simba pia anakiwanja kidogo cha nyasi bandia kwa ajili ya mwanaekumbe ni mpenzi wa mpira safi sana, ila angewekeza hapa nchini kwa team zetu
Aiseee! Eti ni mmoja wa wamiliki wa Newcastle hahahaha.
MIKE ASHLEY NDIYE MMILIKI PEKEE KIJANA NADHANI UNGEGOOGLE UNGEPATA MAJIBU SAHIHI..Share holder yoyote ni mmiliki wa timu, ata ukiwa na Billion 1 inawezekana kabisa ukawa mmiliki wa sio Newcastle tu bali ata Mnchester United kwa asilimia ata 0.001%.
Kumbe kawekeza pale simbakawekeza simba pia anakiwanja kidogo cha nyasi bandia kwa ajili ya mwanae
Daraja liitwe NSSF BRIDGE.Ha ha,jamaa wanaona daraja kuitwa la Dau ni dhambi kwelikweli,
basi liiteni daraja la mhagama
Derm Towers na Mlimani Towers zote hizi ni mali za mashemeji zake ambae wote wamepewa kazi za umeme na consultancy katika miradi mingi ya NSSF..Mkuu nimeisikia hiyo habari kwenye magazeti nikashtuka sana. Sina hakika zina ukweli gani ndani yake. Kama ni kweli basi kuna balaa kubwa. Nawe umeniongezea mshituko tena baada ya kuihusisha hii habari na huyu Dr. wangu wa mambo ya Masoko (Marketing) na Derm towers!!!
mkuu hawa ni washabiki na wapuuzi, na ukishaingiza ushabiki popote uwezo wako wa kufikiri unapunguaIvi kweli watanzania tuna uwezo wa kufikili au tuna matatizo ya akili maana tunajadili gazeti bila hata kuchunguza habari ni sahihi au imetengenezwa kumiliki timu ulaya mnafikili ni kuuza nyanya sokoni kwa mtindo huu ccm watatuongoza mpaka kiama kwanza watu wameshagawanyika kiimani ukiwa dini flani utamchukua wa dini falani na ndicho nakiona hicho kinacho mponza da so ufisadi hakuna taalifa ya mkaguzi wa wa mahebu aliye toa taalifa ya dau kama kuna mtu ana kumbukumbu hiyo atukumbushe
ni mali ya Dau?Lile la kigamboni linafunguliwa kesho