Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 710
Habari ya baadhi ya utajiri wa Mh. Chenge ulioibuliwa na gazeti maarufu nchini Uingereza The Guardians imewashitua watu wengi wakiwemo cabinet members wenzake. Maneno mengi yataongewa sana lakini the bottom line huyu Chenge ndiye anajua ukweli kuhusu huo utajiri wake. Inabidi aje mbele ya wananchi na aeleze ni jinsi gani ameweza kujikusanyia hizo fedha.
Anyway nirudi kwenye mada. Ninaamini kuwa Kiongozi yeyote wa ngazi ya juu katika serikali kabla hajachukuwa madaraka huwa anafanyiwa uchunguzi kuona uadilifu wake. Utaratibu huu upo na unafanywa na Usalama wa Taifa, nina ushahidi kuwa utaratibu huu ulikuwepo kwa sababu niliwahi kufanya kazi katika ofisi ambayo ilikuwa inaomba ushauri kutoka Usalama wa Taifa ilipofikia wakati wa kuteua viongozi wa serikali kama vile mawaziri, makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara n.k
Usalama wa Taifa ulikuwa na jukumu la kuangalia uadilifu na rekodi za mtumishi ambaye alikuwa anatarajiwa kupata Presidential appointment. Baada ya kupata rekodi zake ndipo Rais ana decide either kumteua huyo mtumishi/mtu au la kulingana na rekodi yake.
Kitu ambacho kinanishangaza mimi ni kwamba Mh. Chenge amekuwa mtumishi wa serikali kwa muda mrefu. Na kila alipokuwa anapata Presidential appointment faili lake lilitakiwa lipitiwe na hawa jamaa wa Usalama wa Taifa ili kubaini kama kulikuwa na vitu ambayo vilikuwa ninakwenda kinyume na maadili ya mtumishi.Sasa within 3 years huyu jamaa kapata Presidential appointment mara 2 lakini still faili lake halikupata kuangaliwa kubaini kama kulikuwa na kasoro yoyote. Huenda liliangaliwa lakini wakaamua kuziba midomo yao.
Sasa watanzania tuelezwe ukweli kama ili faili lilichunguzwa na recommendation zikapelekwa kwa JK kuwa huyu jamaa anafaa kuchukuwa nafasi ya uwaziri. Kama walibaini hayo maburungutu huko Jersey je JK alishawishika vipi kumpa cabinet positions 2 times bila kuuliza maswali kuhusu hiyo account? Na kama alipewa maelezo kuhusu hiyo pesa aliridhika vipi kama hiyo pesa imepatikana kihalali?
Hivi karibu kuna swali liliulizwa bungeni na hilo swali lilielekezwa kwenye ofisi ya Rais kuhusu Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Na hilo swali liliuliza ni watumishi wa Umma wangapi ambao wamewahi kutuhumiwa au kugundulika na hiyo Sekretarieti kujipatia mali isivyo halali. Na hilo swali lilijibiwa kuwa hakuna hata mmoja. Sasa sielewi hii Sekretarieti inakwenda how much deep kuwachunguza viongozi wa Umma kuhusu mali wanazotaja. Maana Mh. Waziri katika ofisi ya Rais ambaye yuko responsible na hiyo Sekretarieti hiyo alidai hakuna kiongozi aliyedanganya katika kutaja mali zake. Leo hii tena Waziri wa nchi (Utawala Mtamu) anaonyesha mshangao kuhusu hiyo account. Hapa kuna mashaka kidogo kwamba kuna mtu au taasisi haifanyi kazi yake ipasavyo. NI NANI WA KUWAJIBIKA HAPA????? Usalama wa Taifa hilo hamkuliona kabla JK hajamteua kwa mara ya kwanza kuwa Waziri, Sekretarieti hamkuweza kuchunguza kwa undani zaidi ndani na nje ya nchi kujua kama mtumishi yeyote wa umma na akiba kupita income yake. Kama mlikuwa hamjui ukweli basi MMEPIGWA BAO SI TU NA CHENGE BALI KUNA WENGINE ZAIDI.
Huyu ni mtu mmoja kawapiga bao kwa account moja tu, maana hatujui anazo ngapi huko nje. Kwa hiyo alikudanganyeni, na huyo ni Chenge tu sasa je wengine vipi kama akina Mgonja, Mramba, Mkapa, Yona na wengineo???? Na kama mlijua ukweli kwa nini mlinyamaza? Na kama hamkunyamaza, mlimshauri vipi Rais kuhusu huyu jamaa. Hapa lazima watu wawajibike. Mambo yanakwenda tu kiholela, nakumbuka FS kabla hajawa PM faili lake lilipitiwa na watu wa Usalama kama ilivyo desturi lakini kwenye term yake ya pili faili liliteleza tu wakati kuna upupu tayari alikuwa ameshaanza kufanya. UCHAFU UMEKITHIRI KUPITA KIAMA.
Sasa katika hili nani wa awajibike hata kabla ya AC kuondoka maana dhis taimu AC haz no choisi dhan tu liv bifo hi get kicked aut. Nani awajibike? Usalama wa Taifa, Sekretarieti ya Maadili au Rais mwenyewe. Mie nilikuwa nafikiria wote mnatakiwa kuwajibika, Rais pamoja na taasisi zake za kisanii ili tuanze upya.
Anyway nirudi kwenye mada. Ninaamini kuwa Kiongozi yeyote wa ngazi ya juu katika serikali kabla hajachukuwa madaraka huwa anafanyiwa uchunguzi kuona uadilifu wake. Utaratibu huu upo na unafanywa na Usalama wa Taifa, nina ushahidi kuwa utaratibu huu ulikuwepo kwa sababu niliwahi kufanya kazi katika ofisi ambayo ilikuwa inaomba ushauri kutoka Usalama wa Taifa ilipofikia wakati wa kuteua viongozi wa serikali kama vile mawaziri, makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara n.k
Usalama wa Taifa ulikuwa na jukumu la kuangalia uadilifu na rekodi za mtumishi ambaye alikuwa anatarajiwa kupata Presidential appointment. Baada ya kupata rekodi zake ndipo Rais ana decide either kumteua huyo mtumishi/mtu au la kulingana na rekodi yake.
Kitu ambacho kinanishangaza mimi ni kwamba Mh. Chenge amekuwa mtumishi wa serikali kwa muda mrefu. Na kila alipokuwa anapata Presidential appointment faili lake lilitakiwa lipitiwe na hawa jamaa wa Usalama wa Taifa ili kubaini kama kulikuwa na vitu ambayo vilikuwa ninakwenda kinyume na maadili ya mtumishi.Sasa within 3 years huyu jamaa kapata Presidential appointment mara 2 lakini still faili lake halikupata kuangaliwa kubaini kama kulikuwa na kasoro yoyote. Huenda liliangaliwa lakini wakaamua kuziba midomo yao.
Sasa watanzania tuelezwe ukweli kama ili faili lilichunguzwa na recommendation zikapelekwa kwa JK kuwa huyu jamaa anafaa kuchukuwa nafasi ya uwaziri. Kama walibaini hayo maburungutu huko Jersey je JK alishawishika vipi kumpa cabinet positions 2 times bila kuuliza maswali kuhusu hiyo account? Na kama alipewa maelezo kuhusu hiyo pesa aliridhika vipi kama hiyo pesa imepatikana kihalali?
Hivi karibu kuna swali liliulizwa bungeni na hilo swali lilielekezwa kwenye ofisi ya Rais kuhusu Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Na hilo swali liliuliza ni watumishi wa Umma wangapi ambao wamewahi kutuhumiwa au kugundulika na hiyo Sekretarieti kujipatia mali isivyo halali. Na hilo swali lilijibiwa kuwa hakuna hata mmoja. Sasa sielewi hii Sekretarieti inakwenda how much deep kuwachunguza viongozi wa Umma kuhusu mali wanazotaja. Maana Mh. Waziri katika ofisi ya Rais ambaye yuko responsible na hiyo Sekretarieti hiyo alidai hakuna kiongozi aliyedanganya katika kutaja mali zake. Leo hii tena Waziri wa nchi (Utawala Mtamu) anaonyesha mshangao kuhusu hiyo account. Hapa kuna mashaka kidogo kwamba kuna mtu au taasisi haifanyi kazi yake ipasavyo. NI NANI WA KUWAJIBIKA HAPA????? Usalama wa Taifa hilo hamkuliona kabla JK hajamteua kwa mara ya kwanza kuwa Waziri, Sekretarieti hamkuweza kuchunguza kwa undani zaidi ndani na nje ya nchi kujua kama mtumishi yeyote wa umma na akiba kupita income yake. Kama mlikuwa hamjui ukweli basi MMEPIGWA BAO SI TU NA CHENGE BALI KUNA WENGINE ZAIDI.
Huyu ni mtu mmoja kawapiga bao kwa account moja tu, maana hatujui anazo ngapi huko nje. Kwa hiyo alikudanganyeni, na huyo ni Chenge tu sasa je wengine vipi kama akina Mgonja, Mramba, Mkapa, Yona na wengineo???? Na kama mlijua ukweli kwa nini mlinyamaza? Na kama hamkunyamaza, mlimshauri vipi Rais kuhusu huyu jamaa. Hapa lazima watu wawajibike. Mambo yanakwenda tu kiholela, nakumbuka FS kabla hajawa PM faili lake lilipitiwa na watu wa Usalama kama ilivyo desturi lakini kwenye term yake ya pili faili liliteleza tu wakati kuna upupu tayari alikuwa ameshaanza kufanya. UCHAFU UMEKITHIRI KUPITA KIAMA.
Sasa katika hili nani wa awajibike hata kabla ya AC kuondoka maana dhis taimu AC haz no choisi dhan tu liv bifo hi get kicked aut. Nani awajibike? Usalama wa Taifa, Sekretarieti ya Maadili au Rais mwenyewe. Mie nilikuwa nafikiria wote mnatakiwa kuwajibika, Rais pamoja na taasisi zake za kisanii ili tuanze upya.