harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.