Utajiri utajiri................................

harakat

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
2,888
1,347
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.

sijakuelewa....lakini hapo nilipobold ndio sijakuelewa kabisaaaaa.......
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.

hiyo kwenye blue nini mkuu,......fafanua ili hoja ieleweke mkuu
 
sijakuelewa....lakini hapo nilipobold ndio sijakuelewa kabisaaaaa.......

kama umemuelewa kidogo naomba unieleweshe na mm kadri ya kidogo yako Preta..plz maake mm nimetoka kappa
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.
Fanya ufisadi...!
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.

ikishajitosheleza ntarudi, naona kizungumkuti vile.
 
kama umemuelewa kidogo naomba unieleweshe na mm kadri ya kidogo yako Preta..plz maake mm nimetoka kappa

hii ningeomba unisamehe kidogo kwa leo.....ukizingatia leo ni w/end....ndio sitaelewa kabisaaaaa....mpaka j4
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha

Ero....hi mutu Kiswahili yake ngumu sana......takuwa Mang'ati hii!
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
tu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.
hueleweki, jipange upya tukuelewe vizuri na hasa hapo kwenye red fafanua hicho kilugha chenu kuwa kiswahili lugha ya taifa!
 
hii ningeomba unisamehe kidogo kwa leo.....ukizingatia leo ni w/end....ndio sitaelewa kabisaaaaa....mpaka j4

haya ntasubiri mpaka j4 basi,..ila usiache kunielewesha maake ni thread muhimu sana_si unajua inahusu mambo ya utajiri.
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.

Mkuu kuna watu wana nyaka elfu themanini au Laki na tano na bado wanakuwa matajiri.
Utajiri ni kwa neema ya Mungu ndugu yangu.
Ushauri wa bure kwako. Jifunze kutoa fungu la 10 la mapato yako utaona mabadiliko, then utakuja kunitafuta!
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha

Ero....hi mutu Kiswahili yake ngumu sana......takuwa Mang'ati hii!
She...! tadwaa na melotu apurrooo ngishwang' ing'aru tajirishu....!
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha

Ero....hi mutu Kiswahili yake ngumu sana......takuwa Mang'ati hii!

Nitake Radhi Mkuu, inamaana Mang'ati hawajui Kiswahili?
 
Harakat...mche Mungu toa zaka na sadaka...uwe na malengo...laki mbili-2m mbona ni mtaji mzuri tu wa kuanzia...usikate tamaa..
 
Mkuu kuna watu wana nyaka elfu themanini au Laki na tano na bado wanakuwa matajiri.
Utajiri ni kwa neema ya Mungu ndugu yangu.
Ushauri wa bure kwako. Jifunze kutoa fungu la 10 la mapato yako utaona mabadiliko, then utakuja kunitafuta!

Ni kweli kabisa!Toa ZAKAT ili u "purify" kipato chako!hata kama ni kidogo kitaongezeka zaidi na zaidi,,aidha kazi unayoifanya iwe ni ile uipendayo ki ukweli.
 
Kila kukicha huwa watu wanasaka fedha lakini hazijai na wala haziwatoshelezi sasa najiuliza
kuwa kwa kutegemea mishahara ya kibongo ya sh laki nne mpaka mili 2 mtu anaweza
kuwa tajiri na kama haiwezekani nini kifanyike ili kukabiliana na hili .
Watu wanabika buku lakini mwisho ni hela tu.....nawasilisha hoja.

Utajiri wa nini, na huo utajiri utakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom