HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
- Thread starter
- #21
Kunamilima sana kule nilichoka mno kupanda toka kule mtoniMalamba waterfalls.....napakumbuka hapo nishawahi kufika...mbeya hasa upande wa tukuyu kuna waterfalls za kutosha...usisahau kupanda mlima rungwe