Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Kisa cha jana kimenihuzunisha sana, yule mama kichaa aliyejifungua kichanga jana kisha akakinyonga halafu akawa anatembea nacho mitaani
Polisi wamem clear, ameachiwa huru na hana kesi ya kujibu
Huwa tukiwaona hawa watu wenye matatizo ya akili tunazani hawana hisia, na ikitokea wamepewa ujauzito huwa tunakimbilia kuwasingizia wahuni..... Kuwa muhuni Tanzania ni janga..!! Kila baya ni lako
Nyuma ya pazia, huko gizani na haya mambo ya utajiri heshima umaarufu na madaraka kuna mengi ya kutisha na kushangaza sana
Kuna matajiri wamezaaa na hawa vichaa kutokana na masharti ya waganga wa kienyeji.... Chizi kichaa ama mwendawazimu anaporopoka ama kupayuka kuwa huyu ni mtoto wa fulani sio bahati mbaya anaongea ukweli... ILA hawezi kuaminika kwa watu kutokana na hali yake
Hawa watu pia ni binadamu wana hisia Kama wanadamu wengine, wana maumivu.... Inapotokea wakaguswa kidogo wakaumizwa!!! kwa ajili ya matatizo yao wanakuwa wanakosa utashi wa kuamua kwa weledi
Trust me sio mimba zote za vichaa ni za wahuni... Na kila kichaa aliyezaa anafahamu kwa hakika baba wa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi wamem clear, ameachiwa huru na hana kesi ya kujibu
Huwa tukiwaona hawa watu wenye matatizo ya akili tunazani hawana hisia, na ikitokea wamepewa ujauzito huwa tunakimbilia kuwasingizia wahuni..... Kuwa muhuni Tanzania ni janga..!! Kila baya ni lako
Nyuma ya pazia, huko gizani na haya mambo ya utajiri heshima umaarufu na madaraka kuna mengi ya kutisha na kushangaza sana
Kuna matajiri wamezaaa na hawa vichaa kutokana na masharti ya waganga wa kienyeji.... Chizi kichaa ama mwendawazimu anaporopoka ama kupayuka kuwa huyu ni mtoto wa fulani sio bahati mbaya anaongea ukweli... ILA hawezi kuaminika kwa watu kutokana na hali yake
Hawa watu pia ni binadamu wana hisia Kama wanadamu wengine, wana maumivu.... Inapotokea wakaguswa kidogo wakaumizwa!!! kwa ajili ya matatizo yao wanakuwa wanakosa utashi wa kuamua kwa weledi
Trust me sio mimba zote za vichaa ni za wahuni... Na kila kichaa aliyezaa anafahamu kwa hakika baba wa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app