Utajari wa Muna Love

Kinachowaunganisha ni ‘biashara’. Na huko kwa Yesu ni kivuli tu cha hiyo biashara. Kwa hapo kweli wamekutana. Wote kwenye hiyo game ni makonki. Ila ipo siku Mungu atasikia kilio cha wazazi wanaoteseka na vijana wao.


Shikamoo jimama26
 
Ni kawaida kwa binti mrembo kuwa na maisha mazuri akiitumia rasilimali yake vizuri,hasa kuwakamata wenye pesa wampe maisha mazuri.
 
Binamu kwa taarifa yako muna hizo nguo anapewa bure kwa kuwatangazia mfano yule wit anamtumia so halipwi pesa analipwa nguo hata saloon akienda anasukwa buree halipii msingi kumtangaza msusiii...upoooii
 
Gwajima amebaki kimyaa
Polisi walimaliza mahojiano naye kwani au lilikuwa zengwe kutufanya mabwege Hii inji buana....

Shida ya hawa wanaojiita walokole waongo sana Wanajua wazi wanamtumikia shetani wakitoka oh nimeokaka namjua na kumpokea Yesu....shetani hutumia Biblia hiyo hiyo huliita jina la yesu wa kwao
Mtawajua kwa matendo yao....

Soon and very soon ataanikwa kama mpunga unaosubiri kukobolewa.....
 
Laiti ungejua mkuu usingeandika haya. Huyu dada anadali dorcas ministries pale kunduch kuna muda alikuwa pia kambeba mke wa rayvanny. Kwa ufupi amefulia basi tu ni vile si vizuri kuanika mambo ya waty hadharani lakini maisha anayo potray ni maigizo 99%
Ila wanazengo kwa tunaomjua muna alikotoa mwenzangu bibie kapiga hatua bwana, muna siku hizi Ana damshi, muna huyu sio muna Yule wa zaman Mbeba mapochi ya Wema sepetu, yani life lake limebadilika kwa asilimia kubwa na nadhani yeye anaweza kumuajiri Wema na yeye ambebee mapochi, lol .

Ila Shoga nae alishawahi kudaiwa kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya, maana muna pesa kashika sana huyu dada , anaendesha magari ya thamani ata anapokaa mashallah si haba, yani inshort muna ni kati ya mastaa wachache bongo ambao they are living the best life.

Ila shoga yetu Sasa anachofanya mjini hakujulikani, ye ukimuuliza shosti mbona unadamshi ebu tupe siri na sie wanazengo, Bibi Yule anakwambia ni mambo ya Yesu, mmh bibie huyu anatufanya wajinga, kama kuokoka ndo ungekua kila mtu anaishi maisha yale basi jiji zima la dar lingeokoka maana sio kwa ugumu huu wa maisha .

Sitaki kumchimba sana mtumishi wa Mungu , wala kugusia maisha yake yaliyopita, cha muhimu kaamua kumrudia Mungu( kama kweli ) basi mie sina shida nae, Ila nae aombe nisipate umbea wake , atajuta mjini apa.View attachment 1097854
 
Back
Top Bottom