Unachosema sahihi mkuu, unamkuta mwanafunzi wa chuo kikuu anakuambia cha msingi afaulu , ukimuuliza hiki kitu kina maana gani? anakuambia mi nimemeza tu, huyo ndiyo kesho anaitwa mtaalamu hata alichosomea hakijui, ndiyo maana huwa sistaajabu kuona kazi nyingi zikifanywa na kampuni za kigeni, elimu yetu ina walakini mkubwa mno! mwalimu wa chuo kikuu anakufundisha kitu ambacho mpaka anamaliza hata siku moja hasemi in real life where you gonna apply it , so pathetic!Pole sana mdogo wangu....!!! Huwezi pima uwezo wa mwanafunzi wa chuo kikuu kwa point zilizompeleka chuo au GPA yake baada ya ya kuhitimu....!!
Kuna viti hamvijui juu ya elimu ya juu...na ndio maana vijana wengi mnaenda vyuo vikuu mkiwa na matokeo mazuri na kihitimu kwa gpa nzuri lakini kichwani hamna kitu.. Elimu ya chuo kikuu ni zaidi ya division iliyompeleka chuo au gpa yake...nakutakia mjadala mwema
Huu uzi, ni mzuri sanaa, bado nahitaji, michango zaidiWatu mnaoanzisha nyuzi za kujisifia vyuo huwa mko weupe sana vichwani kwahio mnaamua kutumia chuo ulichosoma kuficha ujinga wako..
Watu wenye akili hawahitaji kujisifia vyuo walivyosoma ili tujue wako vizuri..
Post zao tu zinajidhihirisha wako vizuri.
Sasa mzee baba hapo huna kitu kichwani kazi kusifia sijui UDSM ,SUA ,UDOM N.K