Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,973
Kunyonya wananyonya lakini hamtaki haja ndogo ipitie hapo wala mikono yetu isishike dushe wakati wa kukojoa
Mhh! Aisee umenifikirisha..... Kuna ukweli Hapa aiseenapenda kula Machungwa barabarani ila kama anauza mwanaume, najifikiriaga Mara mbilimbili...
Ndio maana mi sipendi kusalimiana nao kwa kushikana mikono. Ewwww. Jitahidini basi munawege mikono.
Za kwetu hazina unyevu..!Ndio maana mi sipendi kusalimiana nao kwa kushikana mikono. Ewwww. Jitahidini basi munawege mikono.
Zetu hazina unyevu kama zenu shida iko wapi?nyie ndo mnatushikisha mauume yenu
sijui nishashika nyume ngapi daah
mambo ya kuachiana bacteria mikononi nani anataka.Sasa kuna tofauti gani kati ya kukushika mkono na kushika dudu wakati najisaidia haja ndogo, nipe reason ya kunawa mikono...
Acha kujidanganya, na joto hili esp hapa daslam unyevu unyevu upo wa kutosha. Embu naweni bana msituletee bacteria.Za kwetu hazina unyevu..!
Usiogope; we kula tu deo kwa raha zako!duuuh siangalii tena wakaka
We nawe! Huyo bacteria huko alikotoka ndo aje fanya makazi kwenye dushe?! Huyo bacteria labda atakuwa katumwa na aliyemtuma watu washamlia ubwabwa wa shughuli na kuiacha asset yake inatapatapa!Acha kujidanganya, na joto hili esp hapa daslam unyevu unyevu upo wa kutosha. Embu naweni bana msituletee bacteria.
Hahahhaha. Na hizo boxer zenu mnazorudia kuvaa kwa wiki nzima bila kufua, ndio bacteria wanakua wanazaliana humo.We nawe! Huyo bacteria huko alikotoka ndo aje fanya makazi kwenye dushe?! Huyo bacteria labda atakuwa katumwa na aliyemtuma watu washamlia ubwabwa wa shughuli na kuiacha asset yake inatapatapa!
Ushaanza! Ina maana hadi leo ulikuwa hufahamu kwamba boxer ikiwa safi inapunguza nguvu za kiume?! Au utakuwa kasichana ka' Form II wewe usiyefahamu mambo ya kiutu uzima?! Ona sasa; umenifanya niongee mambo ya kikubwa hadharani! Kwanza boxer ikishakaa wiki 2 inatengeneza fume kabisa ya kuulia wadudu including hao bacteria na protozoa! Kwahiyo again; kunawa mikono ni kutafuta sifa!Hahahhaha. Na hizo boxer zenu mnazorudia kuvaa kwa wiki nzima bila kufua, ndio bacteria wanakua wanazaliana humo.