Utafiti: Watu wengi hawajui kama wanaumwa meno

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Utafiti wa kitalaam unaonyesha kwamba wananchi wengi wana matatizo ya kinywa na meno licha ya kuwa wenyewe hawajui.

Hayo yamebainishwa juzi na daktari bingwa wa upasuaji wa shingo, kichwa na meno kutoka Hospitali ya Rufani ya Kanda ya Bugando, Dk. Emmanuel Motega.

Dk. Motega alisema utafiti uliofanyika unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wananchi wana matatizo ya kinywa na meno na kwamba wanaishi na matatizo hayo.

Sababu kubwa, kwa mujibu wa daktari bingwa huyo, ni kuwapo kwa uelewa mdogo juu ya magonjwa hayo huku akiwaomba wananchi wanapohisi maumivu ya meno, harufu mbaya ya kinywa, kuwahi hospitalini.

Alisema mtu akichelewa kupata matibabu, bakteria huingia sehemu zingine za mwili na kusababisha magonjwa mengine kama moyo, majipu ya kashuka kwenye shingo au kifuani, uvimbe na saratani.

"Kwa sasa huduma ya meno imeboreshwa kwa kiwango cha hali ya juu kwani tunaweza kutibu jino bila kung'oa. Tunaweza kuziba meno, kusafisha fizi ambazo zimepata magonjwa, kufanya upasuaji wa shingo na kichwa," alisema Dk. Motega.
 
Kuna hospitali hapa Mbeya wanajiita mabingwa wa meno lakini walichonifanyia.

Jino limetoboka linauma wananisafisha na wananipangia tarehe ya kurudi kusafisha tena.

Nimerudi kusafisha zaidi ya mara 8.

Mpaka hela yote ambayo ni limited kwenye bima imekata.

Mpaka sasa naandika jino linauma hatari.

Kuna hospitali zingine wezi
 
Kuna hospitali hapa Mbeya wanajiita mabingwa wa meno lkn walichonifanyia.

Jino limetoboka linauma wananisafisha na wananipangia tarehe ya kurudi kusafisha tena.

Nimerudi kusafisha zaidi ya mara 8.

Mpaka hela yote ambayo ni limited kwenye bima imekata.

Mpaka sasa naandika jino linauma hatari.

Kuna hospitali zingine wezi
Dah hatariii..

Wengine wakiziba jino wanashindilia lile pango kutia ile dawa yao mpaka ujazo unazidi nao inakuwa shida baadae
 
Kuna dawa moja ya meno inaitwa rasyan, inauzwa elfu 10. Hiyo ni kiboko ya wadudu wa meno.
Kuna hospitali hapa Mbeya wanajiita mabingwa wa meno lkn walichonifanyia.

Jino limetoboka linauma wananisafisha na wananipangia tarehe ya kurudi kusafisha tena.

Nimerudi kusafisha zaidi ya mara 8.

Mpaka hela yote ambayo ni limited kwenye bima imekata.

Mpaka sasa naandika jino linauma hatari.

Kuna hospitali zingine wezi
 
Kanunue kariakoo kwenye maduka ya dawa za asili.chukua Kama dawa ya mswaki.
Mimi kuna kipindi fizi zilikuwa Zina vimba.meno yanaumaa balaa.
Tangu nitumie hyo dawa.kiukweli NIPO HURU.NDO DAWA YANGU YA MAISHA.inauzwa elfu 10 tuu usije ukapigwa.
Weka picha ya hiyo dawa tafadhali.
 
Hiyo hapo mashinee.
Nilikuwa silali bila kumeza diclopa Ila Sasa hivi napeta tu. Nyama nakula Kama kawaida
Weka picha ya hiyo dawa tafadhari.
download-2.jpg
 
Kuna hospitali hapa Mbeya wanajiita mabingwa wa meno lkn walichonifanyia.

Jino limetoboka linauma wananisafisha na wananipangia tarehe ya kurudi kusafisha tena.

Nimerudi kusafisha zaidi ya mara 8.

Mpaka hela yote ambayo ni limited kwenye bima imekata.

Mpaka sasa naandika jino linauma hatari.

Kuna hospitali zingine wezi
Dawa ni kuling'oa tu Kiongozi utazidi kupoteza Pesa zako
 
Hata likiwa limetoboka wadudu wanakufa.linabaki shimo lisilo na maumivu ukitumia hyo dawa
Litakusumbua hilo mkuu.

Kama limetiboka mkuu nashauri kazibe jino lako, mimi kero ya kutoa punje za mchele kwenye kishimo cha jino siitaki.

Alafu pia jino lilotoboka halina uponaji kwa namna yeyote zaidi ya kuziba, zaidi utapoza tu, hiyo dawa ukiiwacha siku mbili tatu utaona cha mtema kuni.

Hilo jino kama limetoboka linatafunwa taratibu tarati
 
Hyo dawa ninayo tumia Ni kiboko ya wadudu.
Litakusumbua hilo mkuu.

Kama limetiboka mkuu nashauri kazibe jino lako,mimi kero ya kutoa punje za mchele kwenye kishimo cha jino siitaki.

Alafu pia jino lilotiboka halina uponaji kwa namna yeyote zaidi ya kuziba,zaidi utapoza tu,hiyo dawa ukiiwacha siku mbili tatu utaona cha mtema kuni.

Hilo jino kama limetoboka linatafunwa taratibu tarati
 
Back
Top Bottom