Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 983
Mbona hiyo kitu ilikuwepo kitambo sana. Sisi wenyeji tunajua sana na inatusaidia kiasi fulani. Na hii inatikana kwa sababu unakuta mtu kafikisha labda miaka zaidi ya 50 bila kuoa. Kwa vile kule kenya kuna shida nyingi hususani ya Ardhi tunaenda kuzoa ukoo tunakuja tuletaaa
Maisha ni simple sana huku kwetu trm
Maisha ni simple sana huku kwetu trm