Utafiti: Watanzania tunaweza kutawaliwa na Wakenya kwa miaka ijayo usalama wa Taifa upo hatarini

Ukioa mwanamke anabaki Kenya?
Kwa hiyo kukaa nae ina maana yeye na watoto wake tayari raia wa Tanzania?

Pili mimi nimemjibu mtoa mada kutokana hizi statement.

"Jamii ya wakurya wanaokaa hapa wameanzisha utamaduni wa kuoa wanawake kutoka nchini Kenya ambao tayari wana watoto zaidi ya watatu na kuendelea

Yaani wanaume wa vijiji vya mpakani wanaenda Kenya wanachukua wanawake waliokwisha zaa huko Kenya na watoto wao na kuwahamishia upande wa Tanzania na hao watoto huhesabiwa kama watoto wa Mwita Chacha wa Tanzania na hupewa majina ya ukoo kwa upande wa Tanzania, watoto hawa wengine huwa wana umri mkubwa"

So mimi nimejibu kutokana na mfumo huu wa NIDA unavyofanya kazi,wenye unatengeneza connection ya vizazi na watu wote wa ukoo upande wa baba na wa mama.

Pili NIDA watataka kujua watoto wamezaliwa wapi,kwa maana ya mkoa wilaya na wao watafanya verification.Sasa hapo utadanganya wapi.
 
Mipakani Ni kitu Cha kawaida Sana mipakani.Ujue mipaka ilikatwa vibaya Masai wa familia moja Kijiji chake kinakatwa na wakoloni vipande viwili mmoja akawa Masai wa Kenya kajiado mei

Mwingine Tanzania loliondo!!!!!! Watu wa familia moja

Mfano kulitokea kituko Kati ya mpaka wa Kenya na Uganda .Raisi Moi wa Kenya walizaliwa na mdogo wake mama mmoja Moi akiwa Raisi Kenya mdogo wake akawa waziri Uganda!!!
Mipakani Wana ndugu kila upande na hujuana vizuri tu.

Jaluo wa Tanzania na wa kenya Ni walewale,mkurya wa Tanzania na Kenya walewale nk
Tatizo ni Muha na Muhutu, hao ndiyo wakimbizi. Ila Mzambia na Mfipa, Malawi, Kenya, Wahaya na Waganda wote hao ni sawa tu hata wakipata mikopo ya chuo haina shida, RUKSA TU!
 
Nasikia kule Kilimanjaro kuna wanaume wanashinda wamelewa kiasi cha wake zao kukazimika kwenda kutafuta wanaume kenya wa kuwakata stimu
 
Kwa hiyo kukaa nae ina maana yeye na watoto wake tayari raia wa Tanzania?

Pili mimi nimemjibu mtoa mada kutokana hizi statement.

"Jamii ya wakurya wanaokaa hapa wameanzisha utamaduni wa kuoa wanawake kutoka nchini Kenya ambao tayari wana watoto zaidi ya watatu na kuendelea

Yaani wanaume wa vijiji vya mpakani wanaenda Kenya wanachukua wanawake waliokwisha zaa huko Kenya na watoto wao na kuwahamishia upande wa Tanzania na hao watoto huhesabiwa kama watoto wa Mwita Chacha wa Tanzania na hupewa majina ya ukoo kwa upande wa Tanzania, watoto hawa wengine huwa wana umri mkubwa"

So mimi nimejibu kutokana na mfumo huu wa NIDA unavyofanya kazi,wenye unatengeneza connection ya vizazi na watu wote wa ukoo upande wa baba na wa mama.

Pili NIDA watataka kujua watoto wamezaliwa wapi,kwa maana ya mkoa wilaya na wao watafanya verification.Sasa hapo utadanganya wapi.
Inawezekana haupo Tanzania, mfumo NIDA una angalia baba na mama ni kina nani? Mimi nimejiandikisha NIDA kabla ya baba na mamaangu, majina niliyowaandikisha mimi wao walibadilisha baadhi.
 
Inawezekana haupo Tanzania, mfumo NIDA una angalia baba na mama ni kina nani? Mimi nimejiandikisha NIDA kabla ya baba na mamaangu, majina niliyowaandikisha mimi wao walibadilisha baadhi.
Uanze wewe au aanze baba yako ,information zisipo sync na mmoja kati ya mtu mwenye ukoo wenu na ,basi you're information zinakuwa invalid.

Hata usipo anza wewe information za babu yako ,mjomba,mama yako mdogo na mkubwa zita point directly kwako na kwa baba yako.

Do you know Database and System Analysis? au hata idea au ushawahi kitizama movies hizi,utakuta jina la mtuhumiwa lina andikwa wanakuja ndugu zake wote,wazima na walio hai.
 
Juzi nilifika Mkoani Mara hasa wilaya ya Tarime maeneo ya vijijini karibu na mpakani mwa Tanzania na Kenya

Nilifika vijiji vya Gwitiryo,Pemba,Borega na kwingineko na nilicho baini katika vijiji hivi,mambo yanayofanyika hapa ni hatari kwa usalama wa Taifa kwa sasa na baadae

Jamii ya wakurya wanaokaa hapa wameanzisha utamaduni wa kuoa wanawake kutoka nchini Kenya ambao tayari wana watoto zaidi ya watatu na kuendelea

Yaani wanaume wa vijiji vya mpakani wanaenda Kenya wanachukua wanawake waliokwisha zaa huko Kenya na watoto wao na kuwahamishia upande wa Tanzania na hao watoto huhesabiwa kama watoto wa Mwita Chacha wa Tanzania na hupewa majina ya ukoo kwa upande wa Tanzania, watoto hawa wengine huwa wana umri mkubwa

Mmoja wa mwanakijiji niliyekutana katika kijiji cha Nyabitocho alinisimulia kuwa watoto walio olewa pamoja na mama zao ni wengi tu,na isitoshe tunawafahamu na wengine ni wajumbe wa serikali ya kijiji na wengine ni viongozi kwenye vyama vya siasa wanawafahamu lakini wananyamaza tu na ukifuatilia hawana vibali vya kuishi Tanzania

Mwingine aliniambia kipindi anasoma chuo kikuu Dodoma wamesoma na kijana ambaye waliolewa na mama yake huku Tanzania lakini baadae akili ilipo pevuka akarudi Kisii Kenya kwa ndugu zake hata hivyo kupitia elimu ya Tanzania alisoma hadi chuo kikuu na mkopo akapata ila cha ajabu likizo alikuwa anaenda kisii Kenya na alipinga yeye kuolewa na mama yake ila anashukuru kupata mwanya wa kusoma Tanzania hadi chuo kikuu kupitia mama yake

Nikataka kujua kama kuna watanzania wanaolewa Kenya na watoto wao,walisema upande wa Kenya hakuna kitu kama hicho,Kenya wanasheria kali kuhusu wahamiaji ,hakuna mtanzania anaweza kujiita mkenya ila wakenya wengi wanajiita Watanzania

Nimebaini kuwa kwa miaka kadhaa ijayo usalama wa Taifa la Tanzania utakuwa hatarini,je hao wanawake wanao olewa kutoka Kenya na watoto wao wakija Tanzania wanasoma na kuanza kutambulika kama Watanzania Idara ya uhamiaji inalijua hilo? Na wamechukua hatua gani? Viongozi wa vijiji wapo tu hawachukui hatua

Hizi familia zinazo olewa kutoka Kenya ni hatari kwa usalama wa Taifa ,kuna siku usalama wa Taifa tutawakabidhi wakenya nionavyo miaka ijayo

Wakurya acheni kuoa wanawake wa Kenya na familia zao,mnahatarisha usalama wa Taifa
vitu kama hivyo ningumu kuepukika hata huko kenya wapo wtz wenye uraia wa kenya
 
Alafu mleta mada anashangaza kweli sio wakenya tu hata makabila mengine Mimi.Baba wa babu yangu alikuwa Mtusi katoka rwanda hata kabla ya uhuru kaja mpaka Tabora akaoa wanawake wengi kweli kazaa wengi kinoma hapa Bongo ni watu warefu sana mpaka leo wapo hapa hapa bongo wadunda tangia hata Tz haijapata uhuru

Hawa wazungu ndio wavuruga na kuchora mapika nchi za Afrika ukiangalia kwa undani kama masai hiwezi kumtambua kama ni mkenya au Mtanzania anaishi porini hata cheti cha kuzaliwa hana kuvuka boda kwenda mchi ingine mbona fasta fasta

Hapa hapa bongo kuna waarabu na wasomali wanakuwa hadi wabunge unajua originality yao ni wapi?????
 
Kuna mmoja alisoma hivyo hivyo hapa Bongo hadi kufikia kuajiriwa BOT. Sasa yuko Segenera na kesi ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.

Yeye alikuja Tanzania kwa ndugu zake akasomea huku huku hadi chuo kikuu. Akapata ajira benki kuu sasa magu alipoingia ndio wakamletea shida na kesi juu kwa kudanganya uraia.

Cases kama hizo maeneo ya mipakani ni za kawaida kwa sababu mipaka iko tu kisheria ila watu wa mipakani ni jamii zile zile.

Mbona rorya yote ni wajaluo wa Kenya na hostoria inaonyesha Tanzania hatukuwahi kua na kabila la wajaluo. Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alitaka kuwafukuza sijui baadae ikawaje wakaachwa. Wale wote ni wakenya na wengine wamekua mawaziri kina Sarungi, katibu mkuu kiongozi wa muda mrefu Opiyo na wengine wengi.
 
Juzi nilifika Mkoani Mara hasa wilaya ya Tarime maeneo ya vijijini karibu na mpakani mwa Tanzania na Kenya

Nilifika vijiji vya Gwitiryo,Pemba,Borega na kwingineko na nilicho baini katika vijiji hivi,mambo yanayofanyika hapa ni hatari kwa usalama wa Taifa kwa sasa na baadae

Jamii ya wakurya wanaokaa hapa wameanzisha utamaduni wa kuoa wanawake kutoka nchini Kenya ambao tayari wana watoto zaidi ya watatu na kuendelea

Yaani wanaume wa vijiji vya mpakani wanaenda Kenya wanachukua wanawake waliokwisha zaa huko Kenya na watoto wao na kuwahamishia upande wa Tanzania na hao watoto huhesabiwa kama watoto wa Mwita Chacha wa Tanzania na hupewa majina ya ukoo kwa upande wa Tanzania, watoto hawa wengine huwa wana umri mkubwa

Mmoja wa mwanakijiji niliyekutana katika kijiji cha Nyabitocho alinisimulia kuwa watoto walio olewa pamoja na mama zao ni wengi tu,na isitoshe tunawafahamu na wengine ni wajumbe wa serikali ya kijiji na wengine ni viongozi kwenye vyama vya siasa wanawafahamu lakini wananyamaza tu na ukifuatilia hawana vibali vya kuishi Tanzania

Mwingine aliniambia kipindi anasoma chuo kikuu Dodoma wamesoma na kijana ambaye waliolewa na mama yake huku Tanzania lakini baadae akili ilipo pevuka akarudi Kisii Kenya kwa ndugu zake hata hivyo kupitia elimu ya Tanzania alisoma hadi chuo kikuu na mkopo akapata ila cha ajabu likizo alikuwa anaenda kisii Kenya na alipinga yeye kuolewa na mama yake ila anashukuru kupata mwanya wa kusoma Tanzania hadi chuo kikuu kupitia mama yake

Nikataka kujua kama kuna watanzania wanaolewa Kenya na watoto wao,walisema upande wa Kenya hakuna kitu kama hicho,Kenya wanasheria kali kuhusu wahamiaji ,hakuna mtanzania anaweza kujiita mkenya ila wakenya wengi wanajiita Watanzania

Nimebaini kuwa kwa miaka kadhaa ijayo usalama wa Taifa la Tanzania utakuwa hatarini,je hao wanawake wanao olewa kutoka Kenya na watoto wao wakija Tanzania wanasoma na kuanza kutambulika kama Watanzania Idara ya uhamiaji inalijua hilo? Na wamechukua hatua gani? Viongozi wa vijiji wapo tu hawachukui hatua

Hizi familia zinazo olewa kutoka Kenya ni hatari kwa usalama wa Taifa ,kuna siku usalama wa Taifa tutawakabidhi wakenya nionavyo miaka ijayo

Wakurya acheni kuoa wanawake wa Kenya na familia zao,mnahatarisha usalama wa Taifa
Meko ni mnyrwanda
 
Mambo madogo hayo,
Usalama wa nchi hii, uliishatikiswa sana na wazawa wa hapahapa,
Ebu kumbuka ufisadi kama Escrow, Epa, Richmond,
Kuna mshenzi mmoja alikuwa anatengeneza ARV feki tena zisizosaidia kitu, amepiga pesa kwa muda mrefu, mpaka anashitukiwa fikiria ameumiza wangapi?!!
Kuna maofisa wa uhamiaji wanatoa vibari na nyaraka za uraia kwa wageni, wao wanataka mshiko tu,
Kinachoatarisha usalama wa nchi hii ni hii idara yetu ya ujasusi ambayo imejaa Uvccm watupu, wasio na akili
 
Back
Top Bottom