Utafiti wangu wa kijinga kuhusu madereva wa Serikali

Hata wakitoa break lining zote kwangu haina shida nitatumia break pads tu na gari itafika salama.
 
Sio madereva wa Serikali tu hata taasisi na makampuni binafsi madereva hawapendani kabisa lakini kwa utafiti wangu mdogo nimeona wengi wa madereva ni wenye shule ndogo sasa wakipata kazi inalipa kiasi wanakuwa na roho za ajabu na kutopenda mwenzake afikie alipo au apate kama yeye ndio maana wanamalizana ili abaki juu mwenyewe hapo ndipo majungu,chuki, kulogana kunatokea
 
Ni uongo' kwa jinsi mfumo wa break unavyofanya kazi hilo suala ni haliwezekani kwasababu

leakage yeyote ikitokea kwenye mfumo itapunguza ujazo wa fluid ambayo itasababisha taa ya break fluid kuwaka na dereva ataona

Pia pakiwa na leakage yeyote kwenye mfumo ukikanyaga pedal ya break itakuwa inaendelea kushuka tu haisimami, inategemea na ukuwa wa leakage.

Nijuavyo mimi madereva wanaoanza kazi kwanza hawana uzoefu na pia hawajui dalili zozote za tatizo linaloanza ktk gari' ni mpaka tatizo liwe kubwa sana ndo atajua au apate ajali.

Hii haina tofauti yeyote na zile ajali zinazotokea mwezi 12, wengi wananunua magari na kuyatumia mijini na ikifika xmxss wanayaendesha kwenda makwao. Wanakosa uzoefu overtake alizokuwa anafanya akiwa dar anaendelea kufanya akiwa high way!

Matokeo yake anasema kalogwa, kama mleta mada!
 
Ni uongo' kwa jinsi mfumo wa break unavyofanya kazi hilo suala ni haliwezekani kwasababu

leakage yeyote ikitokea kwenye mfumo itapunguza ujazo wa fluid ambayo itasababisha taa ya break fluid kuwaka na dereva ataona

Pia pakiwa na leakage yeyote kwenye mfumo ukikanyaga pedal ya break itakuwa inaendelea kushuka tu haisimami, inategemea na ukuwa wa leakage.

Nijuavyo mimi madereva wanaoanza kazi kwanza hawana uzoefu na pia hawajui dalili zozote za tatizo linaloanza ktk gari' ni mpaka tatizo liwe kubwa sana ndo atajua au apate ajali.

Hii haina tofauti yeyote na zile ajali zinazotokea mwezi 12, wengi wananunua magari na kuyatumia mijini na ikifika xmxss wanayaendesha kwenda makwao. Wanakosa uzoefu overtake alizokuwa anafanya akiwa dar anaendelea kufanya akiwa high way!

Matokeo yake anasema kalogwa, kama mleta mada!
Leakage nini mkuu sisi wengine kwenye ukoo wetu hakuna aliyewahi kumiliki Gari
 
zamani wazee walikuwa washauri wa vijana na pia walikuwa wanatoa support kwa vijana hasa kijana anapokuwa ni muajiriwa mpya kwenye taasisi au kazi flani ...lakini siku hizi wazee ndio wanaowapiga vita vijana kila sehemu yenye fursa.....WAZEE NI ADUI NAMBA 2 KWA VIJANA WA KILEO...
 
Binafsi kikubwa nikijuacho hivi videreva vya serikali vikiwa kwenye Yale magari ya serikali navyo hujiona vimekuwa serikali.. Mimbio isiyo na maana, wrong overtakes na kuchomekea n.k n.k

Acha tu wapasuke..
Kongole mkuu, wakati wote wanapokuwa barabarani wanajifanya wanaharaka, hawajali alama za barabarani, kwenye 50 hawajali, na kinachoshangaza askari wa usalama barabarani huwa hawawakamati.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom