UTAFITI WANGU: Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
CHADEMA msimfananishe Rais Magufuli na vitu vya hovyo.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Watanzania wanampenda huyu Mzee Magufuli haijwahi kutokea Hebu angalia Elimu bure Zahanati kila kona ya Nchi.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Magufuli anafanya vizuri maamuzi ya kumuongezea muda ni wazo zuri.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli ni kiboko ya CHADEMA.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mambo vp mkuu?
 
By recalling evident Charles Darwin,"use and disuse of body parties" that the more body parties are used become strong enough vising to disuse where perish and lost,personally mentally fitness outrich mendula survival likewise physically fitness outrich the perpetuatial hardness mankind,by to say mental fits spiritual tutorial,on the other hand physical fits tough tutorial,according to man's says(Charles Darwin) weakened leather happens to demands uses,means may find some body parties are not yours and legally to a loyal person
 
By recalling evident Charles Darwin,"use and disuse of body parties" that the more body parties are used become strong enough vising to disuse where perish and lost,personally mentally fitness outrich mendula survival likewise physically fitness outrich the perpetuatial hardness mankind,by to say mental fits spiritual tutorial,on the other hand physical fits tough tutorial,according to man's says(Charles Darwin) weakened leather happens to demands uses,means may find some body parties are not yours and legally to a loyal person
Lugha ngumu sana hii ya malkia. Ungeandika basi kwa Kiswahili
 
Back
Top Bottom