Utafiti wangu: Asilimia 80 ya Wanawake waliojichubua hawajaolewa, wameachika na ndoa zina migogoro

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,852
Salaam wakuu,

Nmefanya Uchunguzi binafsi kwa miaka mitatu. Nlikua nataka kujua sababu za Wanawake kujibadilisha ngozi ili wawe weupe.

Nlichogundua

1. Miezi sita ya kwanza wanakuwa na furaha.

2. Baada ya mwaka wanaanza kujuta hivyo wanaanza kubadilisha mafuta ili wawe kama miezi sita ya kwanza.

3. Baada ya mwaka wanaaza kutoa harufu kama duka la Dawa wengine uso unakuwa na Vidonda na makovu Usoni.

Mwisho wanaanza kuaribika sehemu za siri na saa nyingine huwa rambo.

MATOKEO YAKE

1. Mpenzi wake anaanza kumchoka

2. Fujo jinaanza kwenye mahusiano

3. Mwanamke anajifanya anaweza maisha na kwamba haambiliki, hashikiki na hasililiziki. Hasikii la mpiga adhana wala la mjumbe.

BAADAE SANA INAKUA HUVI

1. Anarukwa akili na kuongea maneno hayaeleweki, haoni aibu kucheza huko chupi ipo nje mbele ya watoto.

2. Kama alikua havai mawigi anaanza kuvaa Mawigi, kama alikua habandiki kucha anaanza kubandika kucha, kama alikuwa katulia, anaanza kubadilisha mabwana.

3. Anaanza kimtukana mime wake/mpenzi wake. Hatimaye anaanza maisha ya kukaa mwenyewe bila mume. Wanajiita single.

4. Anajiita mtu wa watu na kugawa bure alichopewa na Mungu bure. Na kuanza kuiga kila tabia mbaya.

5. Anapenda mapenzi kinyume na maumbile
 
Katika yote la ukweli niliouthibitisha ni hiyo harufu. Nafikiri ni harufu universal kwa wanaojichubua.

Halafu wakiwa kwa mbali wanakua wazuri akikusogelea ndiyo unaanza kutambua kasoro mbalimbali.
 
Kujichubua na kuharibika sehem za siri.kuna uhusiano gani....Acheni kuja na tafiti za Ajabu Ajabu hapa..

Kuna Watu nawafahamu wanajichubua Miaka mingi ..hawanuki walaha hawana ulioyaandika hapo juu..

Kama unataka kukemea, kemea kujichubua kwa sababu..zakweli sio upuuzi puuzi.
 
Katika yote la ukweli niliouthibitisha ni hiyo harufu. Nafikiri ni harufu universal kwa wanaojichubua.

Halafu wakiwa kwa mbali wanakua wazuri akikusogelea ndiyo unaanza kutambua kasoro mbalimbali.
Hao wenye harufu Wanatumia vipodozi visivyo na hadhi... Ila wale wenye pesa..hawanuki hata kidogo.
 
Kujichubua na kuharibika sehem za siri.kuna uhusiano gani....Acheni kuja na tafiti za Ajabu Ajabu hapa..

Kuna Watu nawafahamu wanajichubua Miaka mingi ..hawanuki walaha hawana ulioyaandika hapo juu..

Kama unataka kukemea, kemea kujichubua kwa sababu..zakweli sio upuuzi puuzi.
uwe unasoma kwanza maelezo ya tafiti zake kwa umakini amekwisha kwambia asilimia 85% means wat hizo 15% ndo za hao ambao umesemea ww hapo kua si wote wanaojichubua wanachubua mpaka papaz zao

Sent from my ɪᴩʜᴏɴᴇ 11ᴩʀᴏ using JamiiForums.com mobile app
 
Hao wenye harufu Wanatumia vipodozi visivyo na hadhi... Ila wale wenye pesa..hawanuki hata kidogo.
sure ndo wale wenye vipodozi vya elfu 70 70 wengine wenye mihela vipodozi vya milaki2 plus kuendelea huko na wanang'aa

actually sio mafufa ya kuwachubua bali ya kuwang'arisha
 
Kulingana na mazingira yetu ya joto huku Afrika, ukishaiondoa melanin kwa kujichubua lazima harufi ya mwili nha jasho vibadilike harufu: Hiyo haijalishi bei ya mkorogo mtu anaojipaka ila lazima harufu ya mwili ibadilike. Hiyo ya makovukama kuungua ni ile kupata miale ya jua kwa sana, mtu kajichubua halafu anakaa jikoni anapika au anakaa kwenye jua sana lazima ngozi itaharibiika kama kuungua flani hivi.

Kwenye ishu ya papuchi huwa ndio zinaonesha rangi halisi ya mtu, huwa zinakuwaga nyeusi wakati mtu ni mweupe.. hii inaletaga ukakasi na kukata stimu design flani... halafu pia kama mtu kajichubua halafu ana nyama nyama nyingi ndio balaa haswa na kama ako na michirizi appetite inakata mapema.
 
Kujichubua na kuharibika sehem za siri.kuna uhusiano gani....Acheni kuja na tafiti za Ajabu Ajabu hapa..

Kuna Watu nawafahamu wanajichubua Miaka mingi ..hawanuki walaha hawana ulioyaandika hapo juu..

Kama unataka kukemea, kemea kujichubua kwa sababu..zakweli sio upuuzi puuzi.
sasa wewe mwanamke utafeel aje harufu ya mwanamke mwenzako!?
achA kutetea, Yale mafuta yanawanukisha vbaya watumiaji wake.
 
Pia swala la kujichubua Kwa wanawake limekuwa shida kidogo Sanaa siku hizi.

Yaan imekuwa tatizo linalo wamaliza wanawake wengi kwakwelii.
Maana inakuwa Hana tofauti na mtu anae tumia Unga au Bangi.

Serikali ingejaribu kuliangalia hili maana hali inazidi kuwa mbayaa.

Wengi wanajua madhara na wanaona lakini hawatambui.
Wasichana wadogo tuu hivi hujiingiza katika huu mkumbo.

Ila Kwa mtoa mada kapatia Kwa 99%.

Kwa kuongezea huwa wanakuwa na visirani Sanaa baada ya kugundua kuwa webugi
 
Wengi wao au kama siyo wote siyo wasomi ya kiwango walau cha chuo kikuu!

Hata kama atakuwa amesoma kidogo au kiasi basi itakuwa ni kwa kuungaunga tu kiasi kwamba anakuwa hajapata ile mind transformation

Ni watu wasiyojiamini !

Halafu wana waambukiza hiyo tabia hadi kwa walio karibu yao mabinti bila kujua ni vibaya nao huiga Mama zao na ndugu zao!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom