samahan mbunye cndio kidole cha pili.kutoka kidole gumba au ni nini mkuuKumbe wanaojichubua wanaichubua hadi mbunye?
Kujichubua na kuharibika sehem za siri.kuna uhusiano gani....Acheni kuja na tafiti za Ajabu Ajabu hapa..
Kuna Watu nawafahamu wanajichubua Miaka mingi ..hawanuki walaha hawana ulioyaandika hapo juu..
Kama unataka kukemea, kemea kujichubua kwa sababu..zakweli sio upuuzi puuzi.
Mimi..Ni mweusi mbona...kujichubua sijawai ila.natumia TU cream zakufanya.ngozi ikae poa.Sawa Madam ,tumekuelewa Ila mpunguze kujichibua eeh!, Tunawapenda tu naiyo black color
Salaam wakuu,
Nmefanya Uchunguzi binafsi kwa miaka mitatu. Nlikua nataka kujua sababu za Wanawake kujibadilisha ngozi ili wawe weupe.
Nlichogundua
1. Miezi sita ya kwanza wanakuwa na furaha.
2. Baada ya mwaka wanaanza kujuta hivyo wanaanza kubadilisha mafuta ili wawe kama miezi sita ya kwanza.
3. Baada ya mwaka wanaaza kutoa harufu kama duka la Dawa wengine uso unakuwa na Vidonda na makovu Usoni.
Mwisho wanaanza kuaribika sehemu za siri na saa nyingine huwa rambo.
MATOKEO YAKE
1. Mpenzi wake anaanza kumchoka
2. Fujo jinaanza kwenye mahusiano
3. Mwanamke anajifanya anaweza maisha na kwamba haambiliki, hashikiki na hasililiziki. Hasikii la mpiga adhana wala la mjumbe.
BAADAE SANA INAKUA HUVI
1. Anarukwa akili na kuongea maneno hayaeleweki, haoni aibu kucheza huko chupi ipo nje mbele ya watoto.
2. Kama alikua havai mawigi anaanza kuvaa Mawigi, kama alikua habandiki kucha anaanza kubandika kucha, kama alikuwa katulia, anaanza kubadilisha mabwana.
3. Anaanza kimtukana mime wake/mpenzi wake. Hatimaye anaanza maisha ya kukaa mwenyewe bila mume. Wanajiita single.
4. Anajiita mtu wa watu na kugawa bure alichopewa na Mungu bure. Na kuanza kuiga kila tabia mbaya.
5. Anapenda mapenzi kinyume na maumbile
Sorry, mwanamke aliyejichubua mi haisimami.Salaam wakuu,
Nmefanya Uchunguzi binafsi kwa miaka mitatu. Nlikua nataka kujua sababu za Wanawake kujibadilisha ngozi ili wawe weupe.
Nlichogundua
1. Miezi sita ya kwanza wanakuwa na furaha.
2. Baada ya mwaka wanaanza kujuta hivyo wanaanza kubadilisha mafuta ili wawe kama miezi sita ya kwanza.
3. Baada ya mwaka wanaaza kutoa harufu kama duka la Dawa wengine uso unakuwa na Vidonda na makovu Usoni.
Mwisho wanaanza kuaribika sehemu za siri na saa nyingine huwa rambo.
MATOKEO YAKE
1. Mpenzi wake anaanza kumchoka
2. Fujo jinaanza kwenye mahusiano
3. Mwanamke anajifanya anaweza maisha na kwamba haambiliki, hashikiki na hasililiziki. Hasikii la mpiga adhana wala la mjumbe.
BAADAE SANA INAKUA HUVI
1. Anarukwa akili na kuongea maneno hayaeleweki, haoni aibu kucheza huko chupi ipo nje mbele ya watoto.
2. Kama alikua havai mawigi anaanza kuvaa Mawigi, kama alikua habandiki kucha anaanza kubandika kucha, kama alikuwa katulia, anaanza kubadilisha mabwana.
3. Anaanza kimtukana mime wake/mpenzi wake. Hatimaye anaanza maisha ya kukaa mwenyewe bila mume. Wanajiita single.
4. Anajiita mtu wa watu na kugawa bure alichopewa na Mungu bure. Na kuanza kuiga kila tabia mbaya.
5. Anapenda mapenzi kinyume na maumbile
Nilikuwaga na wife wa dizaini iyo
Watumiaji wengi wa hizo products huwa hawana uelewa wa kufatilia hizo ingredients na informations kama hizo za TBSView attachment 2197690
View attachment 2197691
View attachment 2197692
View attachment 2197693
View attachment 2197694
View attachment 2197695
View attachment 2197696
View attachment 2197697
View attachment 2197698
View attachment 2197699
View attachment 2197700
View attachment 2197701
View attachment 2197703
View attachment 2197704