Utafiti: Wanawake wa Afrika wanazidi kuwa wafupi

Yaani wewe kwa saa za huku kwetu bongo za usiku wa manane upo macho na saa za huko pia. Jamani watu mnatakiwa muwe mnalala ili mkuwe.

hahahahaha! Mwenzio nalinda sungusungu nitalalaje jamani!
 
Huu utafiti ulifanywa kwa kufuata mfuatano wa vizazi? (Generations)
Isijekuwa utafiti wa mwanzo ulifaywa kwa wamasai halafu uliofuatia ukaenda kufanywa kwa Wangoni, hapo lazima wataona tofauti...
Kwa uzoefu wangu ni kuwa tunaongezeka urefu, hebu jiangalie urefu wako halafu jilinganishe na wazazi au mababu na mabibi zako kisha uone kama umewazidi, ina maana unaongezeka, kama wamekuzidi basi urefu umepungua.. Kisha tuje na tathmini zetu na sisi tena kwa kuzingatia vizazi vilivyotutangulia...

Kwa mfano mimi nimemzidi Urefu mzazi wangu (baba), naye amemzidi urefu mzazi wake (babu)...
Dada yangu amemzidi urefu mzazi wangu (mama), mama amelingana urefu na mzazi wake (bibi)...

Sijashawishika kukubaliana na huu utafiti...

Nami nina mawazo kama yako mkuu. sikubaliani asilani!
 
hahahahaha! Mwenzio nalinda sungusungu nitalalaje jamani!
<br />
<br />
Mh leo nimejaribu kujiunga sungusungu ili nibonnyeze keyboard usiku mzima lakini nimechemsha. Nyie lindo lenu huwa mnakuwa na kahawa? I wish nijiunge huko!
 
<br />
<br />
Mh leo nimejaribu kujiunga sungusungu ili nibonnyeze keyboard usiku mzima lakini nimechemsha. Nyie lindo lenu huwa mnakuwa na kahawa? I wish nijiunge huko!

Mbona nakuona na wewe unalinda! Au upo kwa maalbino, sisi tukilala wao wanaamka.
 
Mbona nakuona na wewe unalinda! Au upo kwa maalbino, sisi tukilala wao wanaamka.
<br />
<br />
Nilikuwa nimeshaondoka sungusungu ila nilisahau kuzima tochi. Ha ha ha nipo kwa mtogole tunajitahidi kukomesha tabia ya hawa vibaka wanaowaibia watumiaji wa daladala. Nawe uko kwa Jaruo anayeongoza watu wanaomnunia?
 
yap. Ila mi simnunii, kumnunia ni kujinyima furaha wakati mwenzio hana hofu. Lol.
<br />
<br />
salimia onyango, sie tunapambana na hawa maalbino ambao wao rangi zetu hawaamini km zinastahili kuishi. Ila kumbuka ulinzi shirikishi ni muhim sn.
Hii ya urefu, labda kuna haja ya kujitahidi kuchanganya species ili nasi tuwe warefu
 
<br />
<br />
salimia onyango, sie tunapambana na hawa maalbino ambao wao rangi zetu hawaamini km zinastahili kuishi. Ila kumbuka ulinzi shirikishi ni muhim sn.
Hii ya urefu, labda kuna haja ya kujitahidi kuchanganya species ili nasi tuwe warefu

poa poa.
 
Jaman m niliambiwa na bibi wapare kwa asili ni wafupi ila wapare wa leo warefu.huu utafiti ulikuwa na bias,sikubalian nae kabisa
 
Tayari Wachina wapo pale Sinza wanaongeza urefu!

Wanaongeza urefu wa nini? Urefu wa mshipa au kimo? Inawezekana ikawa kweli kwani pia wanaume wengi nguvu zao zimepungua lazima wanazaa watoto goigoi na wafupi!
 
Mie hiyo siiamini hata kidogo,kwa sababu hakuonyesha njia za kitaalam kufafanua jambo hilo.Sidhani kama kweli maendeleo ya kiuchumi husababisha ongezeko la urefu kwa wanawake mimi nadhani hilo ni suala la urithi kutoka kizazi kimoja hadi kingine (genetic Issues).NB tuwe makini sana kwan baada ya muda si mrefu sana wataleta dawa za kuongeza urefu na wanawake kununua.
 
Kwanza ni vigumu saana kucritise research ya watu juu juu bila kusoma content na sampling. Mfano, mtu akija Tanzania, kuna jamii ya watu kama wasukuma ni warefu saana lakini jamii nyingine ni kawaida na wengine ni wafupi km wabena hata wakinga. Kwahiyo tungesoma na kujua alifanyaje kwenye sampling yake hata kwa Tanzania huenda ingetusaidia.
Lakini pia ni lazima tufaham, lishe ni muhim saana katika ukuaji. Unaweza ukaangalia mtoto anayeishi Ulaya wa miaka 14 na yule wa Africa hata wakiwa race moja, utaona wa kule anaonekana mkubwa kwa maana ya Urefu. Kwahiyi pia chakula kina sehemu yake na kwa tafisri nyepesi ni kwamba tumezidi kuwa masikini zaidi kuliko miaka ya nyuma.

NImekupata mkuu, lakini zingatia kwamba yeye hajasema wanawake wa Afrika ni wafupi bali amesema wameongezeka ufupi ikilinganishwa na wale wa miaka ya 1950s. Kwa hiyo kwa wastani wanawake wa Tanzania wanaweza wakawa warefu kuliko wa china pamoja na kwamba wastani wa urefu wao umepungua kwa hiyo 1.95cm. This is all about relativity. China on the other hand wanaweza wakawa na wanawake wafupi throughout the history lakini kama wamekuwa stable katika urefu au wastani wa urefu umeongezeka (hata kama hawafikii wa Tanzania) then hawatatajwa kwenye kundi la watu wenye wastani wa urefu pungufu....
Naamini umeelewa sasa, otherwise wahi Kikombe cha babu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom