Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
Aya wenye faida zao tupo hapa
kama humtress lakini.Jamaani kwahiyo mbebez wangu ataishi mda mrefu sana
Hahahiyo point kubwa mate.
Madame Bkuna kaukweli kidogo...
wanawake wanane/mabonge wengi huwa wanaroho nzuri na hawashikilii mambo.
lakini mke mwema hutoka kwa Bwana, sio size
ahsante!!! kumbe ubonge mzuri eeehh!Sina mana ya kumsema mtu vibaya ila wanawake wembamba wanakuwaga wana viroho vigumu sana. Hata kusamehe ni wagumu ile mbaya.
Kila mwanamke huwa na faida na mapungufu yake anyways.
Nawaheshim wanawake wote na ntaishi na yyte anaye nifaa regadless ya unene au wembamba.
wa kwako miakaJamaani kwahiyo mbebez wangu ataishi mda mrefu sana
Woyoooooooooowa kwako miaka
,kama kweli hii.
Eeeh unawapata vyema, ila nao kuna watu wana waweze tuu wakipata kiboko yao.
Sasa awe mwembamba halaf ana ki Masters chake hapo au ana vijihela aaah
Lazma uone moto mwanaume.
,kama kweli hii.