Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Utafiti haupingwi majukwaani, bali kwa kufanya utafiti mwingine na kuthibitisha kwamba ule wa zamani haukuwa sahihi. Uzalendo sio kupinga utafiti bali kuufanyia kazi mapema kabla mambo hayajaharibika.
Hivi wiki mbili zijazo kama utafiti utaipa CCM 60, na Chadema 40, utaukataa? Mfalme akiwa uchi, heri kuambiwa mapema avae nguo kuliko kumshabikia wakati unajua kabisa hajavaa nguo.
CCM wanaweza kushinda lakini sio kwa kishindo; Pia CCM wanaweza kushindwa japo sio kwa kishindo. Hakuna kisichowezekana
Mnasemaje wakuu wenzangu?
Hivi wiki mbili zijazo kama utafiti utaipa CCM 60, na Chadema 40, utaukataa? Mfalme akiwa uchi, heri kuambiwa mapema avae nguo kuliko kumshabikia wakati unajua kabisa hajavaa nguo.
CCM wanaweza kushinda lakini sio kwa kishindo; Pia CCM wanaweza kushindwa japo sio kwa kishindo. Hakuna kisichowezekana
Mnasemaje wakuu wenzangu?