johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,602
- 141,420
Hayo yamesemwa na mh Hasunga ambaye ni Naibu waziri wa Maliasili na utalii na kuthibitishwa na Mkurugenzi wa Makumbusho ya Taifa bwana Audax Mabula. Ni kwamba binadamu wa kwanza duniani aliishi Tanzania, hii ni habari njema na itaitangaza nchi yetu duniani kote. Source ITV habari!