hata mimi JF-Expert Member Oct 17, 2017 1,356 1,437 Sep 19, 2021 #1 Nimebaini mtoto akiwa mdogo kabisa anakuwa anapendelea vitu vilivyo katika dizaini ya urefu mfano mkanda, kamba, nyoka, nk Akikuwa kidogo anakuwa anapenda vitu vya kuelea majini na kupaa angani mfano vifani vya meli/ndege, tiara, puto, nk
Nimebaini mtoto akiwa mdogo kabisa anakuwa anapendelea vitu vilivyo katika dizaini ya urefu mfano mkanda, kamba, nyoka, nk Akikuwa kidogo anakuwa anapenda vitu vya kuelea majini na kupaa angani mfano vifani vya meli/ndege, tiara, puto, nk
Mr. MTUI JF-Expert Member Feb 18, 2013 8,130 8,330 Sep 19, 2021 #4 Inategemea na mazingira anayokulia mtoto...