Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Katika UTAFITI USIO RASMI, na kutokana na ninayoona yanatokea, kwangu na kwa wengine wengi, pale inapokuja kutofautiana katika mahusiano, wanawake wembamba imeonesha wengi wao (IKUMBUKWE SIO WOTE) ndo wana viburi kuliko wanawake wanene.
Bado hasa sijajua tatizo ni nini, na inapotokea akaleta kiburi mpaka kupigwa, huyu mwembamba, anaweza hata akakimbia nje kwenye uwanja na kupiga kelele "NIUE SASA, WE SI UNAJIFANYA MJANJA, NIUE TU". Tofauti na wanawake wanene wengi huweza kucontrol midomo yao, hivyo kupelekea kutokupigwa sana.
Neno langu sio sheria...!!!
Bado hasa sijajua tatizo ni nini, na inapotokea akaleta kiburi mpaka kupigwa, huyu mwembamba, anaweza hata akakimbia nje kwenye uwanja na kupiga kelele "NIUE SASA, WE SI UNAJIFANYA MJANJA, NIUE TU". Tofauti na wanawake wanene wengi huweza kucontrol midomo yao, hivyo kupelekea kutokupigwa sana.
Neno langu sio sheria...!!!