Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,822
- 49,894
Kabisa naunga mkono hoja. Mfano hai ni ile show ya Eatv ya kisa na mkasa ya jana jumatano yule fundi cherehani mwembamba anaonekana mtata sana. Kuna wemba na wembamba kuna wembamba wenye nyama na mwingine hauna nyama. Sasa wale wasiokua na nyama lol lol ogopa