Utafiti Synovate: Dk Slaa ang’ara urais

hata hizo opereshini sangara utaziona zimefanyika maeneo yapi. Is clear. atenda kanda ya ziwa, mbeya na iringa lakini baadhi ya maeneo hawezifika. na sababu ziko wazi.
 
Tangu lini mtafiti mkenya akatafiti na kutoa ripoti nzuri kuhusu Tanzania? hawa ni ma-twister tu.
 
c tunajua toka 2010 kama dr. slaa ni rais na yupo ndani ya mioyo ya watu, tunasubili tu 2015 aende magogoni, tena wala hatuhitaji utafiti wenu wa kinafki. labda mngetuletea utafiti wa kama jk umaarufu wake umeshuka kwa kiwango gani.
 
Hawa jamaa wa Synovate ni wahuni sana!
Wanawaliwaza na kuwafariji watanzania na huu Utafiti wao ili waonekane wakweli.
Mwisho wa siku wakiwatangazia CCM imeshinda uchaguzi muwe hamna cha kusema
 
Eeeh mbona safari hii Synovate wameanza majungu yao mapema hivyo? Watu tunaongelea jinsi tutakavyomaliza kabisa tatizo la mgawo wa umeme wenyewe wanaulizia habari za uchaguzi wa kufikirika!! F****************sh.
 
hayo ni mawazo yako na yanakuwakilisha wewe, ila wengine nao wameona kuwa pinda anafaa kuwa rais. so usijifanye wewe ndo kila kitu, you are just a single one.

Kuna mijitu inadhani yenyewe ina kura laki moja, hovyo kabisa ndio maana machama yao yanashindwaga kila siku kwa arrogance ya wafuasi wao.
 
Hakuna jipya hapo kwa nini mwaka jana walificha matokeo halisi kila mtu anajua Dr Slaa ndiye Raisi wetu even if hayuko magogoni.
Hawa wameambiwa wadivert attention wa mjadala wa kitaifa hadanganywi mtu hapa ,Ikulu watuambiye Shimbo kafikishwa mahakamani,mmh umeme,njaa kali,mabasi kuua watu,wazee kunyimwa pension zao bwana hatutaki tafiti za kijinga kwa nini wasingefanya poll ya kuangalia approval ratings za Jakaya baada ya miezi nane ofisini
 
Synovet hawana jipya wameamua kutoa remix ya uozo wao wa 2010.hakuna kitu hapo ,hatudanganyiki!!
 
Synovet hawana jipya wameamua kutoa remix ya uozo wao wa 2010.hakuna kitu hapo ,Cdm hatudanganyiki!!
 
Something raises suspicion on Synovate's researchs credibility. One would inquistively question as to why should it be conducted at this point of time. Amid the electricity dearth conundrum and wide criticism against Kikwete's staggering government, this implausible research is seemingly cooked in an attempt to mollify anger among the folks, and nothing else.
 
Wamebadilika tena,hawa si ndio walikuwa wanachakachua tafiti zao kabla ya uchaguzi 2010?
 
Watu walio hojiwa ni 1994 kati ya wapiga kura 13,000,000 hii ni sawa na asilimia 0.00015. Duh kweli hamna kitu hapo, ni ubabaishaji wa hali ya juu ndungu zanguni

Inaelekea mwenzetu Statistics zimekupiga chenga. Sasa ulitaka watumie asilimia ngapi? Sometimes muwe mnamuomba MS ushauri kabla ya kuandika. Au ndiyo kukosa mwelekeo wa kitengo cha uhamasishaji SSM?

Mbona mwaka jana walipopika report hukusema asilimia 0.0000015???

Watanzania wamesema sasa kupitia Synovate baada ya kudhurumiwa Rais wao!!
 
M said:
Why today?
False Hopes!! Wangejua kuwa hata ndani ya CDM asilia Padre hana nafasi ya kuteuliwa tena na chama kuwania urais...yaliyotokea nyuma ilikuwa ni 'a ploy' ya kumdhibiti na kufifisha umaarufu wake, kwani walijua asingeshinda, ili come 2015 mteule wao mpendwa apitishwe kiulainiiiiiii! we kalaga baho!.
 
but chadema hawajui kuwa kuna wana ccm wako tayari kuwapigia kura
wao wanafikiri wana ccm wote ni mafisadi....[/QUOTE]

nani kasema hili?? wanaoshabikia na kuitetea serikali ya CCM ni mafisadi pia, maana wanatetea ufisadi, wapo wana CCM wafu, wamebaki na kadi tu, miili yao ipo CCM lakini roho zao zipo nje, (sijasema zipo CDM). nawashauri wahamie CDM km wameona sera zao CDM ni nzuri.
 
but chadema hawajui kuwa kuna wana ccm wako tayari kuwapigia kura
wao wanafikiri wana ccm wote ni mafisadi....[/QUOTE]

nani kasema hili?? wanaoshabikia na kuitetea serikali ya CCM ni mafisadi pia, maana wanatetea ufisadi, wapo wana CCM wafu, wamebaki na kadi tu, miili yao ipo CCM lakini roho zao zipo nje, (sijasema zipo CDM). nawashauri wahamie CDM km wameona sera zao CDM ni nzuri.
 
Something raises suspicion on Synovate's researchs credibility. One would inquistively question as to why should it be conducted at this point of time. Amid the electricity dearth conundrum and wide criticism against Kikwete's staggering government, this implausible research is seemingly cooked in an attempt to mollify anger among the folks, and nothing else.

My friend, as far as I see you are THOMAS who will never believe until it happens. So when do you think would be the best time to conduct such a research?? Kalaga baho!!! For your cheap thinking do you really expect things to get better at any time soon during this regime so that reasechers can do their job?? Please my Bro, let people do their job.... they are being paid for this.
 
Back
Top Bottom