Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,540
- 46,080
Kumekuwa na tatizo la umeme mitaani hasa DSM kiasi kwamba tunaamini yaweza kuwa mgao usio rasmi
Kumekuwa na tatizo la umeme mitaani hasa DSM kiasi kwamba tunaamini yaweza kuwa mgao usio rasmi. Cha kushangaza TANESCO hawasemi chochote kana kwamba hili ni suala la kawaida. Komesha umekuwa leo huku mkijua leo ni sikukuu muhimu ya kimataifa sasa toka asubuhi mmekata umeme ili joto lituadabishe...
www.jamiiforums.com