mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
tafsiri yake kuna viongozi katika awamu hii hawawajibiki ipasavyo! Ni kweli kipindi cha mwendazake hakukua na tatizo la umeme wala mgao wa maji! Na ninakumbuka aliingia madarakani november 2015 nchi ilikua katika ukame kama sasa