Utafiti niliofanya ndani ya JamiiForums kwa kipindi kama hiki miaka ya utawala wa Magufuli hakukuwa na malalamiko ya umeme kukatika mara kwa mara

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,910
51,903
JamiiForums ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike.

Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote cha utawala wa Magufuli mwezi kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es Salaam.

Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai ni kawaida kipindi kama hiki cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme. Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko kama sasa.

Tafsiriri yake nini?
 
Sawa kwahiyo tufanyeje mkuu mataga?

Kwanini matatizo na changomoto zilizokuwepo wakati wa Nyerere, zilitokea tena wakati wa Mwinyi?

Mbona vitu vingine havihitaji hata akili ya kuvukia barabara au na yenyewe huna?

Ila wabongo Mnachongaaaaaaaaaaaa lakini vitendo ZERO.

Yaani mnachonga kama milevi iliyonunuliwa pombe.

Kama mnaaweza ingieni barabarani muandamane.

Kuendelea kujificha na kubwekabweka nyuma ya keyboard ni UJUHA.
 
kipindi chote Cha utawala wa Magufuli mwezi Kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November Hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es salaam
Naunga hoja mkono, ila kulikua na malalamiko ya miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, wengine wakipotea tu, wengine wakiondoshwa kazini, wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi. Katikati ya hayo yote hata umeme ukikatika utauwazia kweli?
 
Sawa kwahiyo tufanyeje mkuu mataga?

Kwanini matatizo na changomoto zilizokuwepo wakati wa Nyerere, zilitokea tena wakati wa Mwinyi??

Mbona vitu vingine havihitaji hata akili ya kuvukia barabara au na yenyewe huna ??

Ila wabongo Mnachongaaaaaaaaaaaa lakini vitendo ZERO.

Yaani mnachonga kama milevi iliyonunuliwa pombe.

Kama mnaaweza ingieni barabarani muandamane.

Kuendelea kujificha na kubwekabweka nyuma ya keyboard ni UJUHA.
Hahahah

IMG-20211118-WA0063.jpg
 
Hivi wewe mleta mada kwa nini ni mpumbafu kiasi hiki? Hali inayoendelea duniani Magufuli angefanya nini? Si Magufuli huyohuyo alikuambia Corona hakuna TZ sasa ni kweli Corona hakuna, toa upumbafu wako
 
Hivi wewe mleya mada kwa nini ni mpumbafu kiasi hiki? Hali inayoendelea duniani Maguduli angefanya nini? Si Magufuli huyohuyo alikuambia Corona hakuna TZ sasa ni kweli Corona hakuna, toa upumbafu wako
Huyo siku zote yupo hivyo na hatobadilika ni kati ya watu walio okotwa jalalani.
 
Sawa kwahiyo tufanyeje mkuu mataga?

Kwanini matatizo na changomoto zilizokuwepo wakati wa Nyerere, zilitokea tena wakati wa Mwinyi??

Mbona vitu vingine havihitaji hata akili ya kuvukia barabara au na yenyewe huna ??

Ila wabongo Mnachongaaaaaaaaaaaa lakini vitendo ZERO.

Yaani mnachonga kama milevi iliyonunuliwa pombe.

Kama mnaaweza ingieni barabarani muandamane.

Kuendelea kujificha na kubwekabweka nyuma ya keyboard ni UJUHA.
Ma ccm yanaruka na kukanyagana kisa kila upande kulinda legacy ya anaye mpatia mlo wake wa kila siku.
 
Wewe ni sukuma gang tunakujua hivyo umeona uiponde awamu hii kwa makusudi.
 
Hiyo ndio furaha ya wapinzani uchwara wa nchi

Namwona fisadi Zito alivyo mwongo na tapeli anayejua anachokitaka na anapambana kupata

Mjue tuu watanzania wa sasa sio wale alokua akiwajua enzi zile

Tanzania ni tajiri
 
Sawa kwahiyo tufanyeje mkuu mataga?

Kwanini matatizo na changomoto zilizokuwepo wakati wa Nyerere, zilitokea tena wakati wa Mwinyi??

Mbona vitu vingine havihitaji hata akili ya kuvukia barabara au na yenyewe huna ??

Ila wabongo Mnachongaaaaaaaaaaaa lakini vitendo ZERO.

Yaani mnachonga kama milevi iliyonunuliwa pombe.

Kama mnaaweza ingieni barabarani muandamane.

Kuendelea kujificha na kubwekabweka nyuma ya keyboard ni UJUHA.
Nikupe jibu kitu ambacho ni very interesting

Kipindi Cha utawala wa Kikwete umeme ulikuwa ukikatika katika Sana na maji kusumbua kama sasa kipindi Cha Samia Hadi Kikwete akaagiza mitambo fisadi ya kufua umeme!! Kwa visingizio tunavyopewa leo ohh mifugo oh Mabadiliko Tabia nchi ohh kina Cha maji nk

Magufuli kuingia kasema Kuna hujuma Tanesco akaitupilia mbali mitambo ya kufua umeme ya kukodi na umeme ukawaka kipindi chote na maji sijui aliyatoa wapi yakawepo!

Matatizo ya kipindi Cha Kikwete mbona yanajirudia kipindi Cha Mama Samia? Yaliruka kipindi Cha Magufuli yamekuja kutua kipindi Cha Mama Samia Huoni.kuna tatizo kubwa Mahali?
 
 
Back
Top Bottom