Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,451
- 4,369
Tatizo la wanawake wafupi ni wabishi na ving'ang'anizi
That it. Umemaliza dear.Ndoa bora na yenye furaha ni yenye upendo,heshima
Mleta mada naona kaja kuwafariji wafupiThat it. Umemaliza dear.
Kusema kweli mm ni a tall guy.. nimepanda juu kweli halaf nimejaliwa mwili.
Ila nimekutama na short girls wengi ni chenga.. mambo mengi.
Cha muhim ni chemistry kati yenu.mkiendana huso urefu na ufupi sio ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wana hasira za karibu!Tatizo la wanawake wafupi ni wabishi na ving'ang'anizi
YAANI TANGU UZALIWENdoa bora na yenye furaha ni yenye upendo,heshima
Agiza Bapa moja hapo ulipo ntalipaNdoa bora na yenye furaha ni yenye upendo,heshima
Maisha hayana fomular kila mtu hupitia nyakati zote raha na shida huzuni na furaha nk hivyo kimo kisikuaminishe kua utapata raha tu(Niwazo2)Katika kupitia pitia masuala ya ndoa mitandaoni nikakutana na hii kwamba ndoa kati ya mwanaume mrefu na mwanamke mfupi hua ndio ndoa zenye furaha zaidi na kua bora.
Binafsi sijui kama ni kweli au ni uongo lakini mnaweza kusoma wenyewe.
Mimi nina kidem changu kingoni kifupi ila kizuri balaa, hua napata wakati mgumu sana kwenda mbele kukihusu maana ni kifupi na mimi nasimama 190cm. Chenyewe kama 150something to 160something. Natamani kingekua 170+ ningekua nishakiweka ndani.
Wenye ndoa au mahusiano na wanawake wafupi, hii ni kweli?
https://www.maxim.com/maxim-man/tall-men-and-short-women-make-happier-couples-2018-1
Hahahaaaaa, hapana.kaka iko kingonii kama nakijua vilee, jina lake kinaanzia na L au??
Hahaha, mzee naona unataka kupinga the obvious. Watu wafupi au wale wembamba sanaaa ni shidaa. Tena hili ni suala la kisaikolojia zaidiThat it. Umemaliza dear.
Kusema kweli mm ni a tall guy.. nimepanda juu kweli halaf nimejaliwa mwili.
Ila nimekutama na short girls wengi ni chenga.. mambo mengi.
Cha muhim ni chemistry kati yenu.mkiendana huso urefu na ufupi sio ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah mkuu. Tuwatu tusumbufu halaf wabish. Hawataki kuelewa chochoteHahaha, mzee naona unataka kupinga the obvious. Watu wafupi au wale wembamba sanaaa ni shidaa. Tena hili ni suala la kisaikolojia zaidi