Wewe nani amekueleza kuwa ni after menopause. Anakuwa hajafika menopause na ana umri wa miaka 60. Acheni kukariri.MP after menopause ni pathological jua ivo tuu.
Wewe nani amekueleza kuwa ni after menopause. Anakuwa hajafika menopause na ana umri wa miaka 60. Acheni kukariri.MP after menopause ni pathological jua ivo tuu.
Mahusiano yenyewe ya sikuhizi hayaeleweki, bora mtu ufanye mishe zako tuu.Ni kweli,ukiwa busy raha sana
Tena ata kuwa kwenye mahusiano unaona kama yatakupotezea muda,
Mimi nawedha kukaa mwaka bila kutheksi wewe..ni kuamua TuMwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Tena wewe ndiyo hata week tu huwezi, usitudanganye hapa😂Mimi nawedha kukaa mwaka bila kutheksi wewe..ni kuamua Tu
Mkuu Kama nakuelewa ivi sex ni addiction, kuna watu hawanywi pombe, hawavuti sigara, hawavuti bange ila kwa ngono ni balaa tena unakuta ana mke kabisa ila atakuambia kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ndo urijali!Mwaka na miezi 6 hapa
Sipigi punyeto
Sina stress
Akili imechangamka vibaya mno
Sex is drug
Sifanyi mpaka nioe.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Ninachokupendea unajiamini kuelezea kile unachokiamini wanawake wengi ujasiri huu hawana.Yes yes utaalamu ni muhimu! We only live once buddy
Ahsante mkuuNinachokupendea unajiamini kuelezea kile unachokiamini wanawake wengi ujasiri huu hawana.
HapanaHivi kujichuwa pia ni kufanya mapenzi?
Sio kweli umeandika kinyume chakeMwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.
Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.
Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.
Kwa kuwa sijapata ninayempenda naweza bn,hata miaka miwili..wewe si hutaki kufanya kazi niliyokutuma ya kumseti cariha bn?Tena wewe ndiyo hata week tu huwezi, usitudanganye hapa😂
Basi hata miaka sita bila mapnz tunadunda...Hapana
Daaaah, siku nyingi sijaona uzi wako mama wa mapambo, mwenye uzuri wake, nimekumiss mamaaaaaSasa huyu jirani ananyenigongea mlango usiku huwa anataka nini? Na anajua mie ni singo yaani naishi mwenyewe....!!!🤷♀️
Daah ndio maana mkipishwa kwenye zebra mnatingisha weeMwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani