Huu utafiti umetuponda sana watu weusi, lakini bado nasema mimi ni mtu halisi, mtafiti kuna mambo mengi ameyaweka kuthibitisha low IQ zetu na lack of civilization.
Mengine ni kweli waafrika tunayo
Mkuu naomba source ya utafiti huu nikasome zaidi.
Ila utafiti umekaa kichochezi sana na inauma mno hasa kwenye mistari ya mwisho hapo
The current problem about being black starts with believing these lies which have been attributed by white race to undermine other races especially black race. Our problem starts by believing these lies, there no way you can become what you don't believe. Hakuna namna itakuwa mwelevu kama unaamini wewe siyo mwelevu. Hakuna namna utakuwa mvumbuzi kama unaamini huwezi kuwa.Nimekuwa interested na kale kaneno BLACK AFRICAN haijatajwa AFRICA in general
Sisi watu weusi tunamatatizo kwa kweli na mmungu alilijua hilo...japo ukwel upo na wanajua wanascience wote ya kwamba MTU MWEUSI ndio source ya BINAADAM wote waliopo kwenye hii DUNIA..
Inauma lakini hakuna cha uwongo alichoandika hapoSio utafiti ni kitu kingine tu inabidi kitafutiwe jina.
Anaonekana kuendeshwa na kitu fulani anachokijua yeye kwa hiyo anatoa hasira. Kuna uongo mwingi sana kwenye andiko lake ambao unafuta kabisa uhalali wa kuaminika chochote alichoandika.
Hakuna haja ya kukasirika na mtu mwenye msongo ambaye ameamua kutafuta nafuu kwa kuandika vitu ambavyo angependa vitokee.
Kutozalia hospitali nayo ni kukosa ubunifu tunaishi maisha ya wanyama, Mpaka leo jembe la mkono ambalo wenzetu waliacha kutumia miaka 3000 imeisha,Wamasai wana dawa za mitishamba hadi zingine zinakuwezesha ule nusu mbuzi bila tatizo, wazazi wetu wengi hawakuzaliwa hosipitali, watu walijua majira ya kilimo, walitunza mbegu, hayo yote sio uvumbuzi?
Huyu jamaa inabidi tukutane naye kwenye platform fulani tuzungumze tumtoe ujinga.
Farao kuwa mweusi inasaidiajeOkay,lets say we are not the same species.., us blacks being humans, what are they.., albino apes..? hahahahahah...! By the way, pharaos where black!
You don't get it bruh, do you? Tunazungumzia knowledge kwanza. Wote tunaanzia chini halafu tunaboresha ndo kunatokea kitu kinaitwa hospitali, kiwanda etc.Kutozalia hospitali nayo ni kukosa ubunifu tunaishi maisha ya wanyama, Mpaka leo jembe la mkono ambalo wenzetu waliacha kutumia miaka 3000 imeisha,
Ukijua hiyo IQ inavyopimwa utakubaliana kuwa that is just another crap! Watu wanatokea mazingira tofauti, anatokea kiumbe mwingine anakuuliza maswali aliyoyaandaa mwenyewe na kwa utashi wake, asiporidhika na majibu yako anasema una low IQ. Don't fall for that bruh.
Mkuu matendo yote hayo yanatokana na kujikuta kwenye systems za utawala ambazo hazipo compatible na sisi.Mi hata sina haja ya kujua hiyo IQ inafanyajwe wala.mzungu kafanya utafiti gani kuhusu human race hayo matendo yetu na ya viongozi wetu yananipa majibu tosha
Sijakupata vizuri mkuu. Au unaniongezea mfano mwingine kuwa sisi sio halisi?
Hakika inauma sana. Hiyo mistari ya mwisho.... mmh!!Huu utafiti umetuponda sana watu weusi, lakini bado nasema mimi ni mtu halisi, mtafiti kuna mambo mengi ameyaweka kuthibitisha low IQ zetu na lack of civilization.
Mengine ni kweli waafrika tunayo
Mkuu naomba source ya utafiti huu nikasome zaidi.
Ila utafiti umekaa kichochezi sana na inauma mno hasa kwenye mistari ya mwisho hapo