Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Utafiti uliofanywa na taasisi moja nchini KENYA imegundulika kwamba maziwa ya mtindi yanaondoa unene wa kawaida hata na obesity, bakteria rafiki(harmless bacteria) aitwaye " LACTOBACILLUS" anayapatikana kwenye maziwa ya mtindi anapunguza unene na uzito kupita... kiasi(obesity na huzalisha kinga ya kuyeyusha mafuta ya ziada mwilini