Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,170
Utafiti mdogo ndoa nyingi au mahusiano mengi ya watu maskini kiukweli ni bora liende. Kuishi vizuri na mwenzio ni ufunguo wa mafanikio katika uhusiano/ndoa yenu. Ambao hamjaingia katika ndoa ni muda wenu wa kumjua vizuri mwenzio nje na ndani usimuoe kisa shape au sura yake utajuta kiukweli ndoa ni zaidi ya hayo.
Kufanikiwa ni rahisi sana katika chochote unachofanya kikubwa tu maelewano yawepo kati yenu. Msikilizane naamini hata Mungu anawafungulieni. Pili mpate mwanamke anaejitambua na kujielewa, Daima simama na hili MWANAUME YEYOTE KATIBU WAKE NI MWANAMKE.
MWANAUME ANAENDA KARIAKOO KICHWANI TU KIWILIWILI KIPO NYUMBANI,
Maana yake kila jambo msimamizi mkuu ni mwanamke
Mwanaume ni kiongozi na msimamizi katika familia
Mtendaji ni mwanamke NDOA NI PARADISO NDOGO UKIOA MWANAMKE SAHIHI
Kufanikiwa ni rahisi sana katika chochote unachofanya kikubwa tu maelewano yawepo kati yenu. Msikilizane naamini hata Mungu anawafungulieni. Pili mpate mwanamke anaejitambua na kujielewa, Daima simama na hili MWANAUME YEYOTE KATIBU WAKE NI MWANAMKE.
MWANAUME ANAENDA KARIAKOO KICHWANI TU KIWILIWILI KIPO NYUMBANI,
Maana yake kila jambo msimamizi mkuu ni mwanamke
Mwanaume ni kiongozi na msimamizi katika familia
Mtendaji ni mwanamke NDOA NI PARADISO NDOGO UKIOA MWANAMKE SAHIHI