Utafiti: Mahusiano / Ndoa zenye Wapenzi ambao Mwanaume ni mrefu kuliko Mwanamke hudumu kuliko wale ambao wana Kimo sawa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,486
108,610
Ni kwamba kama kuna Mahusiano au Ndoa ambazo Wanaume ni Warefu kuliko Wanawake basi kwa 99.9% huwa zinadumu hadi kuwa hata na Mafanikio Maishani kuliko zile ambazo utakuta Wapenzi wote Wawili wana Kimo sawa au Mwanamke amemzidi Mwanaume.

Kwahiyo hapo ulipo sasa unaweza ukalifanya tu hili zoezi mwenyewe kwa kumuangalia Mkeo au Demu wako na kama unamwona mnalingana Kimo au amekuzidi nakushauri kama ulishapeleka ' Mahari ' Kwao wahi sasa hivi ukaichukue kwani hapo hata ' Ukioa ' hakuna mafanikio na mtabwagana tu.

Na kama Wewe ni Mwanaume mwenzangu halafu labda una Demu wako ambaye ama amekuzidi Kimo ( Urefu ) au mnalingana nakushauri haraka sana achana nae na acha kupoteza muda wako Kwake kwani hapo hakuna Kitu bali mtafute Mwanamke ambaye unamzidi Urefu ( Kimo ) ndiyo mtadumu nae.

Watafiti siyo Mapopoma / Wapumbavu kusema hivi na hata Mimi GENTAMYCINE nakubaliana nao kwa 100% kwa sababu zangu ambazo nazijua mwenyewe ambazo siyo lazima nizianike / nizimwage hapa ila kama kuna ' Utafiti ' ulionikosha / ulionikuna basi ni huu.

Shikamooni ' Watafiti ' wote duniani.

Nawasilisha.
 
Yule wa awamu ya tatu kati ya yeye na mkewake nani alikua mfupi?? Alaf wanaishi mpaka Leo pamoja japo samahani zinafanya kazi
 
Ki ukweli wanaume wafupi hua wana gubu sana halafu pia hua hawajiamini hata katika mambo madogo madogo, muda wote huhisi wanadharauliwa hili kwa kiasi kikubwa husababisha migogoro na mikwaruzano isiyoisha katika nyumba, tena mbaya zaidi mwanaume huyo akiwa kapuku.
 
Tuache kuandika upumbavu jamn wkat mwengne, hakuna maumbile wala umbo la mwanadamu linalosababisha kudumu katika ndoa wala mapenzi, kudumu katika hali hizo mbili kuna sababishwa na tabia yako na mwenzako wako, kama weye sio sahihi na yeye si sahihi amuwez kudumu, au weye n sahihi umechagua mtu ambaye si sahihi uwez kudumu wala kuwa na furaha, full stop, hakuna mfup mrf, cjuw mnene wala mwembamba tuachane na dhana za kitoto,
 
Hapa kuna ukweli uliza mabinti wengi wanasema mwanaume akiwa mfupi lazima atamzarau.
 
Utafiti wa kimapenz kutokana na mapenz binafsi ya moyo wako............by the way tusio na mpango wa kuoa bali tupo tu tunazalisha watoto mpka sasa na milele utafiti hautuhusu
 
Back
Top Bottom