GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Watafiti na Wataalam wa mambo ya Saikolojia wamesema ya kwamba kama Wapendanao wawili wamefunga Ndoa yao halafu ndani ya Miezi 17 na Siku 26 Sura zao hazifanani ( yaani ya mmoja inaelekea Kusini na ya mwingine Kaskazini ) jua ya kwamba hapo hakuna Ndoa, hawatadumu na Upendo haupo ( hawapendani ) kabisa.
Kazi ipo na Shikamooni Watafiti wote popote pale mlipo!
Nawasilisha.
Kazi ipo na Shikamooni Watafiti wote popote pale mlipo!
Nawasilisha.