I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,730
- 10,033
Kulingana na tafiti ya the Institute of Medicine (IOM)- 2006, majeruhi 1.5 million kila mwaka hutokana na wafamasia, waudumu wa afya kushindwa kusoma maandiko ya madaktari. Vifo zaidi ya 7000 hutokana na mgonjwa kupatiwa dawa isiyo sahihi tofauti na maelezo ya madaktari.
Muda mwingine hata madaktari wenyewe hushindwa kusoma nini wameandika kwenye maandiko yao wenyewe, hata hivyo sababu kubwa ya kuwa na miamdiko hiyo ni kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaotakiwa kuonwa kwa muda mchache, notes na prescription zinazotakiwa kuandikwa kwa muda mfupi.
Muda mwingine hata madaktari wenyewe hushindwa kusoma nini wameandika kwenye maandiko yao wenyewe, hata hivyo sababu kubwa ya kuwa na miamdiko hiyo ni kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaotakiwa kuonwa kwa muda mchache, notes na prescription zinazotakiwa kuandikwa kwa muda mfupi.