Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,021
- 1,609
Utafiti wa Repoa uliofanyika Kati ya Machi na Aprili 2021 unasema 85% ya Vijana wa Kiume wenye chini ya Miaka 35 wanaishi kwa kipato cha chini ya Tsh. 300,000, huku wa Kipato cha kati wakiwa 13% na uwezo wa kupata Tsh. 300,000 hadi Tsh. 1,300,000 na 2% pekee ndio wenye kipato cha zaidi ya Tsh. 1,300,000 kwa Mwezi
Ripoti hiyo ilikuwa ikiangazia Ukuaji wa Miji unavyoongezeka, Upatikanaji wa Huduma za Umma kwa Usawa na Michakato ya Ushiriki wa Wananchi katika Maamuzi.
Chanzo: Ripoti ya Repoa
Ripoti hiyo ilikuwa ikiangazia Ukuaji wa Miji unavyoongezeka, Upatikanaji wa Huduma za Umma kwa Usawa na Michakato ya Ushiriki wa Wananchi katika Maamuzi.
Chanzo: Ripoti ya Repoa