Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,067
Pamoja na kushuka kwa umaarufu wa Rais kwa zaidi ya asilimia 40, wananchi wamesema kama uchaguzi utafanyika leo kura za CCM zitapungua kwa 3% tofauti na 2015 while kura za Chadema zitapungua kwa 24% [HASHTAG]#SautiZaWananchi[/HASHTAG]