44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,141
Mwanamke huwa anapata hamu kwa kipindi maalum, sio kila siku, yaani yupo kama ng'ombe jike huwa Ana period maalum.
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata utamu wowote, ingawa atakudanganya tu!
Lakini ukimkuta kwenye siku ambazo yai lake lipo tayari kurutubishwa atakuwa na hamu nyingi sana na ukimfanya atapata utamu wa kutosha.
Kama nasema uongo wanawake njoon mnipinge:
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata utamu wowote, ingawa atakudanganya tu!
Lakini ukimkuta kwenye siku ambazo yai lake lipo tayari kurutubishwa atakuwa na hamu nyingi sana na ukimfanya atapata utamu wa kutosha.
Kama nasema uongo wanawake njoon mnipinge: