Utafiti binafsi: Vyakula vingi vya mama nitilie Dar es Salaam vinatiwa mafuta na maji ya upako

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,646
35,979
Habari!

Nimeongea na mama nitilie kadhaa nimegundua kuwa sasa wameamua kuachana na waganga wa kienyeji katika kukuza biashara zao. Na sasa wameamua kutumia mafuta na maji ya upako ambavyo vinapatikana kwa bei ndogo na kwa uwazi.

Bila kujali dini au madhehebu yao wamama na wadada hawa wajasiriamali wanatumia mafuta na maji ya upako kunyunyizia biashara zao ili kuvutia wateja.

Kuhusu madhara kwa watumiaji wa vyakula na bidhaa zao haiwahusu na hawajui lolote. Wanachojua ni kwamba mafuta ya upako yanavutia wateja.

Sasa mpaka wanaume baadhi wanatumia mafuta na maji ya upako kwaajili ya kuboost shughuli zao.
 
Imani imewezaje aisee? Elimu imefeli kabisa, pamoja na kuwa na waalimu maprofesa, wameshindwa kuwajaza watu elimu kama hao wahubiri? Kama gharama zinakaribiana tu tofautu huku unahimizwa kutoa zaidi kule unalazimishwa kulipa kilichopangwa.
 
Imani imewezaje aisee? Elimu imefeli kabisa, pamoja na kuwa na waalimu maprofesa, wameshindwa kuwajaza watu elimu kama hao wahubiri? Kama gharama zinakaribiana tu tofautu huku unahimizwa kutoa zaidi kule unalazimishwa kulipa kilichopangwa.
Umasikini unafanya tuwe hivyo

if taifa lingewekeza zaidi kwenye elimu, maarifa na individual empowerment, haya mambo yangeweza kuwa challenged

Bahati mbaya baadhi ya watawala huona kwamba empowering people ni threat kwao

Lakini naamini, tutafika tu

if the current president akitekeleza kauli zake za haki, usawa na community development and empowerment
 
Sio vibaya watu wameamua kumrudia Mungu ndio nyakati za mwisho hizi.Maana hata hapo awali walikuwa wanaenda kwa waganga walikuwa wanachanganya maji ya kupikia chakula na damu ya kwanza ya hedhi ndio maana mm niliacha kula kwa mama ntilie bora hayo mafuta yanakuwa hayana madhara sana ukilinganisha na damu ya hedhi.🤔
 
Sio vibaya watu wameamua kumrudia Mungu ndio nyakati za mwisho hizi.Maana hata hapo awali walikuwa wanaenda kwa waganga walikuwa wanachanganya maji ya kupikia chakula na damu ya kwanZa ya hedhi ndio maana mm niliacha kula kwa mama ntilie bora hayo mafuta yanakuwa hayana madhara sana ukilinganisha na damu ya hedhi.🤔
Kwahiyo yana madhara au hayana?
 
Kwahiyo yana madhara au hayana?
Hayana madhara ni mafuta ya kawaida tu ya kupikia ila yanakuwa yanaombewa sio lazima yatoke direct kwa mchungaji, unaweza kuwa na ndoo yako ya mafuta ukapeleka kanisani yakaombewa au ukashiriki maombezi ya kuyaombea hayo mafuta kupitia njia ya Tv kama alivyokuwa anafanya TB Joshua, Mwamposa na wachungaji wengine wana vipindi vya Tv na redio vya kuombea maji na mafuta.

Wakatoriki wana maji ya baraka ni sawa tu na maji ya upako unaweza kwenda kuchukua kanisani au ukaenda na dumu lako la maji padri akayaombea.
 
 
Umasikini unafanya tuwe hivyo

if taifa lingewekeza zaidi kwenye elimu, maarifa na individual empowerment, haya mambo yangeweza kuwa challenged

Bahati mbaya baadhi ya watawala huona kwamba empowering people ni threat kwao

Lakini naamini, tutafika tu

if the current president akitekeleza kauli zake za haki, usawa na community development and empowerment
Mkuu ulichoongea kina uwiano na ukweli?

Mbona kuna watu ni wasomi wenye Bachelors,masters,phd na maisha mazuri lakini wanakwenda kujazana huko kwa mwamposa na gwajima.

Unataka kusema hawa nao hawajawezeshwa na serikali?
 
Mkuu ulichoongea kina uwiano na ukweli?
Mbona kuna watu ni wasomi wenye Bachelors,masters,phd na maisha mazuri lakini wanakwenda kujazana huko kwa mwamposa na gwajima.
Unataka kusema hawa nao hawajawezeshwa na serikali?
Maarifa babaaaa

Na hao wengi tayari ndoa au mahusiano vimeshavurugwa

angalia wanapoweka heshima na utii wao

kusoma sio guarantee ya elimu, maarifa na empowerment
 
Sio vibaya watu wameamua kumrudia Mungu ndio nyakati za mwisho hizi.Maana hata hapo awali walikuwa wanaenda kwa waganga walikuwa wanachanganya maji ya kupikia chakula na damu ya kwanZa ya hedhi ndio maana mm niliacha kula kwa mama ntilie bora hayo mafuta yanakuwa hayana madhara sana ukilinganisha na damu ya hedhi.
Sasa mkuu ikitokea upo safarini na una njaa utafanyaje utagoma kula?
 
Back
Top Bottom