Utafiti 1990: Watanzania ni wavivu

Unataka wabadili mfumo wa elimu Ili ccm Ife? Kwani wao wajinga?
Sasa hutuambii kwa namna gani elimu ya sasa inaisaidia CCM kuwa madarakani, na ni mabadiliko gani ktk elimu yatakayo saidia kutoka tulipo. nijuavyo mimi ukiondoka URAIS/CIVICS masomo mengine yote ni standard ya ki dunia, principals na formula ni zile zile. Labda mfumo wa ufundishaji vyuoni. course work 40% huku 60% ikiwa ni final exams. wenzetu km KOREA, USA na nk, course work ni 60%-80% final exam 20%-30%.
 
Hata CDM hawako exceptional. Wakati mmoja CDM waliaminishwa ZZK ni msaliti, wanachama wengi wakajaa. Kisa ni waraka wa akina Mwigamba na Prof. Kitila uliokuwa unajenga mkakati wa kumuandaa ZZK ili awe mkiti wa CDM.
2020 ZZK akaketi meza moja wakubwa CDM kusaini MoU kupinga matokeo ya uchaguzi. Kama wangekuwa wanafikiri vya kutosha, kumuita mtu msaliti kwa kujiandaa kimkakati kugombea uongozi na wanachama wakajaa, hapo kuna shida pahala.
Ni CDM hao hao kwa miaka mingi walimwita EL fisada, 2015 wakamsafisha kwa hisopo huku TL akigeuka na hoja nyepesi as if sio yeye ambae kwa miaka ya kutosha alimuimba EL kama mtu asie msafi.

Iko haja Watanzania tukaja na mijadala fikirishi yenye kufungua fahamu zetu kila mahali kwa ajili ya kesho njema kwetu, wanetu na wajukuu zetu.
Ukilaza hauna chama, hata CDM wameshindwa kutumia science kuiondoa CCM madarakani.
 
Ukilaza hauna chama, hata CDM wameshindwa kutumia science kuiondoa CCM madarakani.
Mbona hata wewe umeshindwa kuiondoa,
Huyo mtafiti huwa anahudimia familia za watanzania Hadi aseme wavivu?
 
Uvivu uliletwa na Nyerere na Ujamaa wake. Mashirika ya umma watu walilipwa hata kama hawafanyi kazi kwa bidii. Kwa sababu hayo mashirika yanabebwa na serikali hata kama yanafanya kazi kwa hasara.
 
Uvivu uliletwa na Nyerere na Ujamaa wake. Mashirika ya umma watu walilipwa hata kama hawafanyi kazi kwa bidii. Kwa sababu hayo mashirika yanabebwa na serikali hata kama yanafanya kazi kwa hasara.
wajamaa asilia china na korea mbona ni wachaoa kazi?
 
wajamaa asilia china na korea mbona ni wachaoa kazi?
Wachina waliacha ujamaa siku nyingi kwa sababu ulifeli kule pia. Cultural revolution ya Mao Zedong iliacha China masikini sana na mamilioni walikufa. Korea kaskazini watu wanakufa njaa hawana uchapa kazi wa aina yoyote.
 
Sasa hutuambii kwa namna gani elimu ya sasa inaisaidia CCM kuwa madarakani, na ni mabadiliko gani ktk elimu yatakayo saidia kutoka tulipo. nijuavyo mimi ukiondoka URAIS/CIVICS masomo mengine yote ni standard ya ki dunia, principals na formula ni zile zile. Labda mfumo wa ufundishaji vyuoni. course work 40% huku 60% ikiwa ni final exams. wenzetu km KOREA, USA na nk, course work ni 60%-80% final exam 20%-30%.
Mfumo wetu wa elimu hauna tija kwa muhitimu unamfanya tu asiruke stage ya ukuaji,haumsaidii mwanafunzi kuwa critical thinking kumudu kutatua changamoto zinazomzunguka,zaidi ya kumfanya awe mkariri mzuri,thus ukiwa na uwezo mzuri wa kukariri ni rahisi kupata A kwenye masomo..
Kiufupi ni mfumo unaomfanya mwanafunzi kuendelea kuwa mjinga thus sio ajabu kukuta mhitimu anaacha raslimali tele zilizojaa kijijini kwake anakimbilia mjini kuuza machinga au kuendesha bodaboda,hali wenzetu weupe sababu ya elimu bora anarudi kulekule kijijini penye raslimali zilizokimbiwa na mhitimu wetu anazigeuza fursa anapata pesa anakuwa tajiri nchini yake inakuwa tajiri pia.
Sasa ccm inatoa elimu duni haitaki kubadili mitalaa ya critical thinking Ili vijana wajinasue waone fursa maana wanaamini huwezi mtawala mwenye shibe.Pia utumia kodi kama njia ya kuwafanya watz wasiinuku wazidi kuwa masikini kwa kuwezesha wachache ndio wamudu kununua bidhaa muhimu mfano magari,ujenzi,nk.
Watz ni masikini sio kwa sababu hawana pesa au mitaji bali wamenyimwa elimu,maana ya umasikini ni upeo Mdogo wa kuona fursa zinazowazunguka.Mfano sekta ya madini na kilimo hizi mbili tu zinaweza ajili vijana wote nchini plus na wengine toka nchi jirani na still zikapelea.Shida ni elimu,asiye na maarifa ni mjinga ni rahisi kumtawala.Thus wajinga wanayo nguvu ya kuiweka ccm madarakani.
 
Posted on January 1, 1990 by editor

Tanzanian workers are lazy and unproductive says Tanzania’s National Productivity Council (NPC) quoted in ‘Business News’ on September 29th 1989. The NPC Executive Secretary, Mr Nikubuka Shimwela attributes the trend to a lack of a productive culture in the nation. “People are not serious with work” he said.

According to the Council the nation’s productivity has been falling since 1980 with adverse effects on the national economy. In financial institutions productivity has been declining at an average rate of 3.3% In the manufacturing sector at 6.2%, in the mining sector at 4% and in public administration at 5.5% In cross section interviews on productivity many interviewees have charged that the most unproductive sector is the public administration sector. Civil servants report late for work, one person charged. Some leave their work well before closing time while most spend a considerable amount of time in dubious private ventures during working hours.

NO SAYS MR. KASWAGA

Responding in the Mailbag column of ‘Business News’ a Mr Ben Kaswaga wondered what had happened to workers in recent years. Had the generation of early post-independence workers disappeared? The answer was no he wrote. Many of those Tanzanians were still alive and well. But something or other had happened in their minds.

‘How much productivity can be expected of a Tanzanian who gets up at 5.30 in the morning without even a crumb of boiled cassava for breakfast to make two bus connections at 30 shillings each so as to be in time for work? Can this hungry worker produce much when all he has for lunch is a couple of roasted sweet potatoes to be washed down the throat with, perhaps, one soda because he can’t afford anything better? Can this worker be productive when, at 2.30 pm – tired, underfed and undernourished – he has to make another two bus connections to get back home and arrive there, maybe two hours later ….

The Tanzanian is lazy? True, probably, but that is mainly because he does not eat enough. He does not eat enough because he is not paid enough (or sometimes not at all) because there is low productivity. But there cannot be higher productivity from a demoralised, tired and hungry producer
Mnooo
 
Mtanzania akiwa na hivi vifuatavyo basi,kalidhika kula kusimpige chenga,pahala pakulala,tuhela twa hapa na pale ndio maana wengi wetu huwaza nyumba na gari ndio mafanikio
 
Kwako mafanikio Ni Nini?
Mafanikio ni kutimiza kipawa kama ulicho nacho wewe unaetaka kunichimbua ila nimekuasoma, na kutoa msaada kwa wengine kama ajira,nyumba na gari ni vipawa vya wenzio miaka hiyo mwiaaa iliyopita mimi kujenga na kununua gari ni ajira ya mafanikio ya haoooo wenzetu,timiza kwanza kipawa chako ndipo ujenge na kununua gari sio unazaliwa miaka 60 yote ya kuishi ww unapambana kujenga na kununua gari wakati umesahau haijatimiza vipawa vyako nimemaliza Oya broo mi sijui maana ya mafanikio muulize ontorio au kidukulilo
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom