Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Habari wakuu!
Je, ikitokea siku unafunga ndoa na mpo dakika za majeruhi unatazama mbele unamwona mtu wa jinsia yako, yaani mwanaume au mwanamke mwenye sura ngeni kwako hatulii na mkononi anabahasha (A4) khaki na inaonyesha ndani ina vinyaraka/karatasi?
Je, hutapata hofu kuwa mume/mke wako mtarajiwa ni mime/ mke wa mtu?
Je, ukihisi kitu utafanya nini?
Je, ikiwa mtu kaamua kufanya hivi ili tu kukuweka roho juu utamfanya nini ndoa ikishafungwa na hharusi kupita?
Je, ikitokea siku unafunga ndoa na mpo dakika za majeruhi unatazama mbele unamwona mtu wa jinsia yako, yaani mwanaume au mwanamke mwenye sura ngeni kwako hatulii na mkononi anabahasha (A4) khaki na inaonyesha ndani ina vinyaraka/karatasi?
Je, hutapata hofu kuwa mume/mke wako mtarajiwa ni mime/ mke wa mtu?
Je, ukihisi kitu utafanya nini?
Je, ikiwa mtu kaamua kufanya hivi ili tu kukuweka roho juu utamfanya nini ndoa ikishafungwa na hharusi kupita?
Last edited: