Kuna ndugu amekutwa na mkasa huu nikaona embu ni shee na wewe mwana JF (Home of Great Thinkers).
Umelea ujauzito kwa mapenzi kubwa, umemkuza mtoto vizuri mno, umemsomesha vema, vyote kwa upendo wa dhati. Na bahati mbaya uliyenaye ni huyohuyo kwakua badae mke hakufanikiwa kushika ujauzito.
Halafu unakuja kujua kumbe huyo mtoto si wako!
Utafanye?
Umelea ujauzito kwa mapenzi kubwa, umemkuza mtoto vizuri mno, umemsomesha vema, vyote kwa upendo wa dhati. Na bahati mbaya uliyenaye ni huyohuyo kwakua badae mke hakufanikiwa kushika ujauzito.
Halafu unakuja kujua kumbe huyo mtoto si wako!
Utafanye?