OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,062
Ni kweli kabisa mkuu ..unakuta kuna mwamba yuko serious anahitaji laki tano apige business.. halafu msela anachomoa kumbe kwa wiki anamgea manzi 250k dah hii life hii .tusionacho tutaona jamaa anafeli sana ila ndo hivyo hatujabarikiwa badoHalafu kuna mshikaji anakuomba million azungushe na kurejesha ukamtosa