Hii thread Ina chai, mwanaume mwenye uwezo wa kumuhonga mwanamke gari ya IST na tshs laki 2 kila baada ya Wiki mbili hana muda wa kuja humu jF kuanzisha uzi..
Ukute ameshapigwa kimbola cha mapenzi. Halafu nyie mnahangaika kumshauri, nawahakikishia kwamba hakika yenu ushauri mnaompa hautamsaidia.Noooo tena big noooo! ingekuwa ni mimi ningemwachia vitu vyote endapo tu alishakuwa ni mke wangu tena ambaye tushakuwa na mtoto/watoto, na si huyo wakudanda.
Nakushauri chukua vyako lakini iwe ni kwa amani kabisa, usiwashe moto kwani mlipuko wake kwako unaweza kuwa mkubwa sana na ukakuletea madhara makubwa pia.
Chukua vitu vyako. Usimdhuru maana Kibatala na Mtobesya wako busy .
Hii thread Ina chai, mwanaume mwenye uwezo wa kumuhonga mwanamke gari ya IST na tshs laki 2 kila baada ya Wiki mbili hana muda wa kuja humu jF kuanzisha uzi..
Jina la mleta Uzi Lina ukakasi
khaaaaaahNi kumfuata tu anayekula hela zako na kumjuza hizo hela anazokula ni zako ila anazipata kupitia mtu wa kati iwapo anataka kuendelea kuzifaidi hizo hela mtu wa kati atoke ili aingie yeye kuzitafuna hizo hela vizuri ila awe tayari kupoteza hazina yake ya marinda aliyoitunza miaka miaka